Mchuano wa CCM ni sawa na Democrat Lowassa (Hilary Clinton) vs Membe (Baraka Obama)

R.B

JF-Expert Member
May 10, 2012
6,296
2,571
Nimefuatilia mpambano wa ccm ; kuhusu uraisi ; unanikumbusha mbio za uraisi kupitia democratic

hilary clinton - alijua wazi yeye ni mzoefu wa ikulu anawatu wengi anawajua , kwa hiyo 100% alijua ikulu ni yake ; ata kampeni zake ndani ya chama zilikuwa za nguvu ya vyombo vya habari- sitakosea kama anavyofanya lowassa ndivyo alivyo fanya hilary clinton
alikuwa na wafanya biashara wakubwa na tabiri nyingi za kumpa moyo - lakini yaliyotokea tuliyaona



baraka obama - ni mtu aliyekuwa apewi nafasi lakini aliandaliwa na watu kwa manufaa ya kunusuru chama na ni mkimya kama membe
na kutokukurupuka na kuonga vyombo vya habari; kulimjenga na mpaka sasa tuonyo
;amejenga chama mpaka sasa republican watashindwa kama ilivyoshindwa labour.

Utabiri wa mchuano huu matokeo ni kama ya democratic
 
Utabiri wako unaweza kuwa sawa lakini ulinganishi wako siyo sawa Membe hovyo hawezi kulinganishwa na Baraka Obama- Mlima Kilimanjaro na kichuguu kisicho na jina.
Nimefuatilia mpambano wa ccm ; kuhusu uraisi ; unanikumbusha mbio za uraisi kupitia democratic

hilary clinton - alijua wazi yeye ni mzoefu wa ikulu anawatu wengi anawajua , kwa hiyo 100% alijua ikulu ni yake ; ata kampeni zake ndani ya chama zilikuwa za nguvu ya vyombo vya habari- sitakosea kama anavyofanya lowassa ndivyo alivyo fanya hilary clinton
alikuwa na wafanya biashara wakubwa na tabiri nyingi za kumpa moyo - lakini yaliyotokea tuliyaona



baraka obama - ni mtu aliyekuwa apewi nafasi lakini aliandaliwa na watu kwa manufaa ya kunusuru chama na ni mkimya kama membe
na kutokukurupuka na kuonga vyombo vya habari; kulimjenga na mpaka sasa tuonyo
;amejenga chama mpaka sasa republican watashindwa kama ilivyoshindwa labour.

Utabiri wa mchuano huu matokeo ni kama ya democratic
 
Nimefuatilia mpambano wa ccm ; kuhusu uraisi ; unanikumbusha mbio za uraisi kupitia democratic

hilary clinton - alijua wazi yeye ni mzoefu wa ikulu anawatu wengi anawajua , kwa hiyo 100% alijua ikulu ni yake ; ata kampeni zake ndani ya chama zilikuwa za nguvu ya vyombo vya habari- sitakosea kama anavyofanya lowassa ndivyo alivyo fanya hilary clinton
alikuwa na wafanya biashara wakubwa na tabiri nyingi za kumpa moyo - lakini yaliyotokea tuliyaona



baraka obama - ni mtu aliyekuwa apewi nafasi lakini aliandaliwa na watu kwa manufaa ya kunusuru chama na ni mkimya kama membe
na kutokukurupuka na kuonga vyombo vya habari; kulimjenga na mpaka sasa tuonyo
;amejenga chama mpaka sasa republican watashindwa kama ilivyoshindwa labour.

Utabiri wa mchuano huu matokeo ni kama ya democratic

Sioni ufanano wowote kati ya Barack Obama na Bernard Membe. Obama mpaka anawania urais hakuwahi kuwa ndani ya serikali, alikuwa ni seneta mdogo (junior senator) kutoka Illinois na pia alikuwa Community Organizer kutoka Chicago. Hiyo ndiyo CV yake.Membe kwa upande wake amekuwepo serikalini muda mrefu,ndani ya kuta za usalama wa taifa na sasa Waziri.Jambo lingine,Obama alikuwa mahiri wa kumiliki jukwaa (amazing oratory skills) na mvuto (charisma). Membe sifa hizo hana.
 
Nimefuatilia mpambano wa ccm ; kuhusu uraisi ; unanikumbusha mbio za uraisi kupitia democratic

hilary clinton - alijua wazi yeye ni mzoefu wa ikulu anawatu wengi anawajua , kwa hiyo 100% alijua ikulu ni yake ; ata kampeni zake ndani ya chama zilikuwa za nguvu ya vyombo vya habari- sitakosea kama anavyofanya lowassa ndivyo alivyo fanya hilary clinton
alikuwa na wafanya biashara wakubwa na tabiri nyingi za kumpa moyo - lakini yaliyotokea tuliyaona



baraka obama - ni mtu aliyekuwa apewi nafasi lakini aliandaliwa na watu kwa manufaa ya kunusuru chama na ni mkimya kama membe
na kutokukurupuka na kuonga vyombo vya habari; kulimjenga na mpaka sasa tuonyo
;amejenga chama mpaka sasa republican watashindwa kama ilivyoshindwa labour.

Utabiri wa mchuano huu matokeo ni kama ya democratic

Naona umeamua kukutanisha mbingu na ardhi kitu ambacho hakiwezi tokea mpaka Yesu arudi.
 
th
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom