Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,195
kwani kutekwa haiwezekani?Kwahiyo alijilipa kwa kudanganya kuwa ametekwa? Teh teh teh! ...
kwani kutekwa haiwezekani?Kwahiyo alijilipa kwa kudanganya kuwa ametekwa? Teh teh teh! ...
Arusha tunamtaka Monaban, Hao wachagga akina Lema na marafiki zake hatuwataki. Monaban ni mzawa ana uchungu na Arusha Yetu..akina Lema wakagombee Moshi huko Machame
we we mpuuzi Arusha wakiamua kupiga kura kikabila hakuna kabila lingine litaongoza zaidi ya wachaga
Achana na huyo gamba njaa imepanda kichwaniwe we mpuuzi Arusha wakiamua kupiga kura kikabila hakuna kabila lingine litaongoza zaidi ya wachaga
Arusha tunamtaka Monaban, Hao wachagga akina Lema na marafiki zake hatuwataki. Monaban ni mzawa ana uchungu na Arusha Yetu..akina Lema wakagombee Moshi huko Machame
Siasa za Arusha zimeathiriwa sana na Wachagga, Hakuna kitu wanachofanya zaidi ya ufisadi tu .
litakua jambo jema tuondoe janga la jiji letu
Kuna taarifa na mpango wa chini chini unaofanywa na makada wa ccm kumwomba mfanyabiashara kijana wa madini Thomas Munis kugombea Ubunge ,baada ya kuonekana kada Philemon Molle aliyejitokeza ni mzee na hawezi kumwangusha Lema.
litakua jambo jema tuondoe janga la jiji letu
kwa Arusha hakuna wa kumuangusha Lema, Lema kwa Arusha ni sawa na Messi kwa Bacelona
Wewe si wa Arusha.