Hebie
JF-Expert Member
- Jul 29, 2012
- 1,415
- 859
Dunia Ina Mambo, hivi hawa jamaa wanamdanganya nani?
Tumeshuhudia Kila kitu tangu mwanzo kampeni zinaanza hadi hitimisho,
Tunafahamu kuwa mnao watu wanaokubalika na jamii katika baadhi ya kata na majimbo,
Tunafahamu pia kuwa uovu mmeupa kipaumbele mko tayari kumwaga damu ili mnenepeshe matumbo yenu,
Ila majimbo Kama Tunduma, Mbeya mjini, Mwanza, kigoma mjini, kawe nk mmetupiga kama mechi ya Manchester city vs Ihefu.
Mnaemwabudu awabariki sana
Tumeshuhudia Kila kitu tangu mwanzo kampeni zinaanza hadi hitimisho,
Tunafahamu kuwa mnao watu wanaokubalika na jamii katika baadhi ya kata na majimbo,
Tunafahamu pia kuwa uovu mmeupa kipaumbele mko tayari kumwaga damu ili mnenepeshe matumbo yenu,
Ila majimbo Kama Tunduma, Mbeya mjini, Mwanza, kigoma mjini, kawe nk mmetupiga kama mechi ya Manchester city vs Ihefu.
Mnaemwabudu awabariki sana