Mchoro maarufu uliosumbua vichwa vya watu

.ata uku haunted homes zipo sana mjumbe sema ss wa aafrika wabish tunakoomaa nazo mpka mauza uza yanatuzoea na ss tunayazoea inshort tuna roho ngum mnoo kuwazid whites

Sent using Jamii Forums mobile app

Kweli Mkuu zipo kama unavyosema watu wanakomaa tu
Halafu huambiwi kama ni haunted unajikuta umeingia tu
Pwani zaidi ndio nimezisikia sana
Wazungu wanafuatilia sana mpaka wana programme za hizo nyumba watu wanaenda kuziangalia na kuona mambo ya ajabu kama baadhi ya vyumba kuwa na baridi kuliko zingine
Au vyombo kuanguka na kurushwa hovyo
Zingine unasikia mpaka sauti za ajabu
Yaani huwa natamani niingie nyumba za hivyo nijipime kidogo


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Kweli Mkuu zipo kama unavyosema watu wanakomaa tu
Halafu huambiwi kama ni haunted unajikuta umeingia tu
Pwani zaidi ndio nimezisikia sana
Wazungu wanafuatilia sana mpaka wana programme za hizo nyumba watu wanaenda kuziangalia na kuona mambo ya ajabu kama baadhi ya vyumba kuwa na baridi kuliko zingine
Au vyombo kuanguka na kurushwa hovyo
Zingine unasikia mpaka sauti za ajabu
Yaani huwa natamani niingie nyumba za hivyo nijipime kidogo


Sent from my iPhone using Tapatalk
.unatamani ukaweke maisha yako rehan kwenye haunted houses

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom