Mchiriku unyamwezini

Nikimtazama mwanangu Pili.... Dunia wapo binadamu wachache. Mambo ya Pwani haya. Hawa jamaa hata kama nina hasira huwa zinaisha. watani zangu Wazaramo wanachekesha mno.
 
hali Yangu masikin sijui ntapata lini ntakapo kwenda kaburin mwanangu atarithi niniiiii.....daaah proud kuwa wa mwananyamala aisee watoto wa kwa kopaaa hawa baba dullah dariki moko ....kina speed boti
 
Nikimtazama mwanangu Pili.... Dunia wapo binadamu wachache. Mambo ya Pwani haya. Hawa jamaa hata kama nina hasira huwa zinaisha. watani zangu Wazaramo wanachekesha mno.
wazaramo mm wajomba zangu hawa huwa wananipa miziku balaaa kama magoma ya nsense marunde ya nyumbani kule usungu
 
hali Yangu masikin sijui ntapata lini ntakapo kwenda kaburin mwanangu atarithi niniiiii.....daaah proud kuwa wa mwananyamala aisee watoto wa kwa kopaaa hawa baba dullah dariki moko ....kina speed boti
Ondoka ukose raaaha
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom