simba songea
JF-Expert Member
- Feb 8, 2016
- 1,498
- 1,211
Malumbano na zogo kubwa Katika Basi lile,
Kati ya kondakta na Bwana mgambo yule,
Kondakta anadai nauli yake hee,
Na mgambo anataka kupanda bure anadai Yeye ni chombo cha dola,
Kondakta akaja juu akasema haiwezekani kupanda bure hee,
Nimeruhusiwa na jeshi la magereza,
Nimeruhusiwa na jeshi la polisi,
Kupanda buree nmeruhusiwa na chombo cha dola.
×2
Kati ya kondakta na Bwana mgambo yule,
Kondakta anadai nauli yake hee,
Na mgambo anataka kupanda bure anadai Yeye ni chombo cha dola,
Kondakta akaja juu akasema haiwezekani kupanda bure hee,
Nimeruhusiwa na jeshi la magereza,
Nimeruhusiwa na jeshi la polisi,
Kupanda buree nmeruhusiwa na chombo cha dola.
×2