Mchiriku: Hisani Musical Club (Gari Kubwa)

darcity

JF-Expert Member
Jul 20, 2009
8,577
16,579
Ningependa kujua ilipo bendi moja ya mchiriku ambayo ili-modernize muziki wa mchiriku (kwa kuweka vinanda na magitaa) mwanzoni mwa miaka ya 1990 ambayo iliitwa Hisani Musical Club ambyo ilitoa album yao moja iliyotamba sana miaka hiyo.

Nakumbuka kipindi hiko nikiwa mdogo nikipita Kariakoo ilikuwa vibanda vya wauza kaseti nyimbo zake zilipigwa sana mfano "uko wapi" Ally Mwinyi Hodari" "mola wangu nk. Mdau mwenye kujua taarifa zao na ikiwezekana kuwa na nyimbo zao azitupie hapa ili tukumbuke.


View: https://m.youtube.com/watch?si=Px2TpgRJFpNJ6r66&v=TBHZx4UPr8g&feature=youtu.be
 
"Hisani"
"Gari kubwa"

Yes. Ilisumbua sana enzi hizo. Hawakuwa na mpinzani kwa muda mrefu mpaka alipokuja kuibuka mtu alieitwa OMARY OMARY.

HISANI sina uhakika kama bado ipo. Ilipitia changamoto nyingi sana ikiwemo ile ya MCHIRIKU kukosa taswira chanya kwa jamii na jeshi la police.

Kingine HISANI ilipata pigo baada ya baadhi ya nyota wake KULOWEA MOROGORO na kuanzisha band kule!

Huo wakati ambao OMARY OMARY kashika kasi na bado kulikuwa na vikundi vingine vinakuja juu!

Labda nikuambie, kama weee ni msikilizaji wa GENGE la eFM kuanzia saa mbili usiku, yule jamaa anaemiliki ile SHOW anaitwa KICHEKO.

KICHEKO alikuwa uti wa MGONGO wa HISANI sambamba na MUDDY KADOGO, MFAUME, CHIDIDE, THOMSON, BWANA KULWA naomba niwataje wache.

Kwa kifupi ni kwamba, pale eFM ule mziki wa SINGELI umepewa mwenyewe. HAMAD! KUCHA NA UPELE, HIVI HAPA.
 
"Hisani"
"Gari kubwa"

Yes. Ilisumbua sana enzi hizo. Hawakuwa na mpinzani kwa muda mrefu mpaka alipokuja kuibuka mtu alieitwa OMARY OMARY.

HISANI sina uhakika kama bado ipo. Ilipitia changamoto nyingi sana ikiwemo ile ya MCHIRIKU kukosa taswira chanya kwa jamii na jeshi la police.

Kingine HISANI ilipata pigo baada ya baadhi ya nyota wake KULOWEA MOROGORO na kuanzisha band kule!

Huo wakati ambao OMARY OMARY kashika kasi na bado kulikuwa na vikundi vingine vinakuja juu!

Labda nikuambie, kama weee ni msikilizaji wa GENGE la eFM kuanzia saa mbili usiku, yule jamaa anaemiliki ile SHOW anaitwa KICHEKO.

KICHEKO alikuwa uti wa MGONGO wa HISANI sambamba na MUDDY KADOGO, MFAUME, CHIDIDE, THOMSON, BWANA KULWA naomba niwataje wache.

Kwa kifupi ni kwamba, pale eFM ule mziki wa SINGELI umepewa mwenyewe. HAMAD! KUCHA NA UPELE, HIVI HAPA.
Mkuu kama una nyimbo zao nikutumie namba(niku- pm)unirushie kwenye whatsapp au kwenye email.Nimewakumbuka sana
 
HISANI MUSICAL CLUB maskani yake ilikuwa mwananyamala MANJUNJU enzi hizo miaka 93 94 kama sikosei basi 95 KOMANDO YOSSO wakiwa HEWANI(upgrade to PANYA ROAD now)
na kina MUDDY KADOGO CHIDIDE nk maskani yake ilikuwa pale MWANANYAMALA Kwa manjunju na album yao kari iliotamba ni ya GARI KUBWA TISHIO ikiambatana na nyimbo kali zenye vionjo vikari kama
"nalialia ooh mamaoo uko wapi mama ooh"
"shemeji kaulamba mkopo wa sukari"
"nataka kubebwa ooh nataka kunyonya eeh"

Tulikuwa maskanii
Kukaa kidogo kaja mtu
Kaja anatuuliza
Eti bwana kipaka kafaa saa ngapi
Watu wote tukashangaa
Kwenda kuuliza kumbe kweli !!

Sio yeye peke yakee
Yeye ametanguliaaa
Hata bwana darcity atakwenda tuuu "

bwana CHIDIDE sina ubaya naee
MUDY kadogoo sina ubaya naee
slim5 sina ubaya naee
guasa amboni sina ubaya naee
Hikma sina ubaya naee
maswara kudensa ooh maswara kupeta oooh
ilikuwa hatari sana enzi hizo ni watoto pori
kumtoa mwali linafungwa hilo GITA hiyo ngoma bagamoyo pande za MATIBWA nikikumbuka hiyo siku nawakumbuka masela wangu wengi sana sema ndo hivyo miaka hairudi nyumaa

rapa wao mkari MUDDY KADOGOO ezi hizo madem wanamshobokea usipime sasa hivi kachoka mbaya na unga bonge la teja lipo pale kinondoni manyanya mara ya mwisho nilimuona mwaka juzi ferry anauza samaki akaniambia yupo sana pale manyanya
washikaji wengne sijui wapo wapi ila karibu nusu yao wamekufa na hiyo bendi haipo tena ilikufa tangu miaka ya 97 98 hivi baada polisi kulifutilia mbali kundi la Kijambazi la KOMANDO YOSSO na bendi ikapotea hapo wengine walikimbia mikoani wengne walidakwa wapo kolokoloni mpk sasa wengine walidedishwa
baadae ilihasisiwa JAGWA MUSIC watoto wa jolijo baada kuibuka
7 SUVIVAL kwa kasi
 
HISANI MUSICAL CLUB maskani yake ilikuwa mwananyamala MANJUNJU enzi hizo miaka 93 94 kama sikosei basi 95 KOMANDO YOSSO wakiwa HEWANI(upgrade to PANYA ROAD now)
na kina MUDDY KADOGO CHIDIDE nk maskani yake ilikuwa pale MWANANYAMALA Kwa manjunju na album yao kari iliotamba ni ya GARI KUBWA TISHIO ikiambatana na nyimbo kali zenye vionjo vikari kama
"nalialia ooh mamaoo uko wapi mama ooh"
"shemeji kaulamba mkopo wa sukari"
"nataka kubebwa ooh nataka kunyonya eeh"

Tulikuwa maskanii
Kukaa kidogo kaja mtu
Kaja anatuuliza
Eti bwana kipaka kafaa saa ngapi
Watu wote tukashangaa
Kwenda kuuliza kumbe kweli !!

Sio yeye peke yakee
Yeye ametanguliaaa
Hata bwana darcity atakwenda tuuu "

bwana CHIDIDE sina ubaya naee
MUDY kadogoo sina ubaya naee
slim5 sina ubaya naee
guasa amboni sina ubaya naee
Hikma sina ubaya naee
maswara kudensa ooh maswara kupeta oooh
ilikuwa hatari sana enzi hizo ni watoto pori
kumtoa mwali linafungwa hilo GITA hiyo ngoma bagamoyo pande za MATIBWA nikikumbuka hiyo siku nawakumbuka masela wangu wengi sana sema ndo hivyo miaka hairudi nyumaa

rapa wao mkari MUDDY KADOGOO ezi hizo madem wanamshobokea usipime sasa hivi kachoka mbaya na unga bonge la teja lipo pale kinondoni manyanya mara ya mwisho nilimuona mwaka juzi ferry anauza samaki akaniambia yupo sana pale manyanya
washikaji wengne sijui wapo wapi ila karibu nusu yao wamekufa na hiyo bendi haipo tena ilikufa tangu miaka ya 97 98 hivi baada polisi kulifutilia mbali kundi la Kijambazi la KOMANDO YOSSO na bendi ikapotea hapo wengine walikimbia mikoani wengne walidakwa wapo kolokoloni mpk sasa wengine walidedishwa
baadae ilihasisiwa JAGWA MUSIC watoto wa jolijo baada kuibuka
7 SUVIVAL kwa kasi

Sidhani kama hiyo Tulikuwa maskani ni Hisani hao, nadhani ni Omary Omary akiwa na Topaz, unaikumbuka night star ya Mkapa Sharp? Wakiwa na kina wamizoga
 
HISANI MUSICAL CLUB maskani yake ilikuwa mwananyamala MANJUNJU enzi hizo miaka 93 94 kama sikosei basi 95 KOMANDO YOSSO wakiwa HEWANI(upgrade to PANYA ROAD now)
na kina MUDDY KADOGO CHIDIDE nk maskani yake ilikuwa pale MWANANYAMALA Kwa manjunju na album yao kari iliotamba ni ya GARI KUBWA TISHIO ikiambatana na nyimbo kali zenye vionjo vikari kama
"nalialia ooh mamaoo uko wapi mama ooh"
"shemeji kaulamba mkopo wa sukari"
"nataka kubebwa ooh nataka kunyonya eeh"

Tulikuwa maskanii
Kukaa kidogo kaja mtu
Kaja anatuuliza
Eti bwana kipaka kafaa saa ngapi
Watu wote tukashangaa
Kwenda kuuliza kumbe kweli !!

Sio yeye peke yakee
Yeye ametanguliaaa
Hata bwana darcity atakwenda tuuu "

bwana CHIDIDE sina ubaya naee
MUDY kadogoo sina ubaya naee
slim5 sina ubaya naee
guasa amboni sina ubaya naee
Hikma sina ubaya naee
maswara kudensa ooh maswara kupeta oooh
ilikuwa hatari sana enzi hizo ni watoto pori
kumtoa mwali linafungwa hilo GITA hiyo ngoma bagamoyo pande za MATIBWA nikikumbuka hiyo siku nawakumbuka masela wangu wengi sana sema ndo hivyo miaka hairudi nyumaa

rapa wao mkari MUDDY KADOGOO ezi hizo madem wanamshobokea usipime sasa hivi kachoka mbaya na unga bonge la teja lipo pale kinondoni manyanya mara ya mwisho nilimuona mwaka juzi ferry anauza samaki akaniambia yupo sana pale manyanya
washikaji wengne sijui wapo wapi ila karibu nusu yao wamekufa na hiyo bendi haipo tena ilikufa tangu miaka ya 97 98 hivi baada polisi kulifutilia mbali kundi la Kijambazi la KOMANDO YOSSO na bendi ikapotea hapo wengine walikimbia mikoani wengne walidakwa wapo kolokoloni mpk sasa wengine walidedishwa
baadae ilihasisiwa JAGWA MUSIC watoto wa jolijo baada kuibuka
7 SUVIVAL kwa kasi
Duh! weye mtu unanikumbusha mbaliiii kuna kitu inaitwa said dabani kuna mdau kasema mchiriku na wizi kama pete na kidole naungana nae.
"Washkaji karibuni
Karibuni maskaniii
Na wala msione kimyaaa
Said dabani hatumuoniii
Said dabani amefarikiii
Kwa ajali ya gariii
Ambayo imetokeaaa
Buguruunii
Said dabani kaacha majonzii
Hata kwa mzazi mwenzie
Pili mama Ali anabaki analia ooooooh
Duh nimekumbuka hapo.
 
Duh! Waqt huo
Atakufanyia hilaaa
Na rumande akuweke
Uijutie duniaaa
Kila shetani na mbuyu wake !
Ali Mwinyi hodari
Ali Mwinyi ooh
Nahodha wetu hodari
Ali mwinyi ooh.
dunia hii *4, kuna vilema dunia hii kuna viwete dunia hii kwani hao wote wameumbwa na mola eeh na ridhiki yao iko kwa mola. Ahh chidide toa heshima! . Ukitaka kuinjoi mziki huu lazima uwe high kidogo usiku mnene
 
dunia hii *4, kuna vilema dunia hii kuna viwete dunia hii kwani hao wote wameumbwa na mola eeh na ridhiki yao iko kwa mola. Ahh chidide toa heshima! . Ukitaka kuinjoi mziki huu lazima uwe high kidogo usiku mnene
Jana baada ya mdau kuzungumzia JAGWA ikabidi niende tube mate nikakuta wimbo wao wa kondakta nimecheka sana kondakta a nataka kuchukua nauli kwa mgambo mgambo hataki anasema yeye chombo cha dola.
 
HISANI MUSICAL CLUB maskani yake ilikuwa mwananyamala MANJUNJU enzi hizo miaka 93 94 kama sikosei basi 95 KOMANDO YOSSO wakiwa HEWANI(upgrade to PANYA ROAD now)
na kina MUDDY KADOGO CHIDIDE nk maskani yake ilikuwa pale MWANANYAMALA Kwa manjunju na album yao kari iliotamba ni ya GARI KUBWA TISHIO ikiambatana na nyimbo kali zenye vionjo vikari kama
"nalialia ooh mamaoo uko wapi mama ooh"
"shemeji kaulamba mkopo wa sukari"
"nataka kubebwa ooh nataka kunyonya eeh"

Tulikuwa maskanii
Kukaa kidogo kaja mtu
Kaja anatuuliza
Eti bwana kipaka kafaa saa ngapi
Watu wote tukashangaa
Kwenda kuuliza kumbe kweli !!

Sio yeye peke yakee
Yeye ametanguliaaa
Hata bwana darcity atakwenda tuuu "

bwana CHIDIDE sina ubaya naee
MUDY kadogoo sina ubaya naee
slim5 sina ubaya naee
guasa amboni sina ubaya naee
Hikma sina ubaya naee
maswara kudensa ooh maswara kupeta oooh
ilikuwa hatari sana enzi hizo ni watoto pori
kumtoa mwali linafungwa hilo GITA hiyo ngoma bagamoyo pande za MATIBWA nikikumbuka hiyo siku nawakumbuka masela wangu wengi sana sema ndo hivyo miaka hairudi nyumaa

rapa wao mkari MUDDY KADOGOO ezi hizo madem wanamshobokea usipime sasa hivi kachoka mbaya na unga bonge la teja lipo pale kinondoni manyanya mara ya mwisho nilimuona mwaka juzi ferry anauza samaki akaniambia yupo sana pale manyanya
washikaji wengne sijui wapo wapi ila karibu nusu yao wamekufa na hiyo bendi haipo tena ilikufa tangu miaka ya 97 98 hivi baada polisi kulifutilia mbali kundi la Kijambazi la KOMANDO YOSSO na bendi ikapotea hapo wengine walikimbia mikoani wengne walidakwa wapo kolokoloni mpk sasa wengine walidedishwa
baadae ilihasisiwa JAGWA MUSIC watoto wa jolijo baada kuibuka
7 SUVIVAL kwa kasi
Unga umewapoteza wapiga mnanda wengi
 
Duh! weye mtu unanikumbusha mbaliiii kuna kitu inaitwa said dabani kuna mdau kasema mchiriku na wizi kama pete na kidole naungana nae.
"Washkaji karibuni
Karibuni maskaniii
Na wala msione kimyaaa
Said dabani hatumuoniii
Said dabani amefarikiii
Kwa ajali ya gariii
Ambayo imetokeaaa
Buguruunii
Said dabani kaacha majonzii
Hata kwa mzazi mwenzie
Pili mama Ali anabaki analia ooooooh
Duh nimekumbuka hapo.
hiyo atomic na huyo marehem Omar omar.Nakumbuka marehem alianzia Topaz ngoma kabla ya kuunda Atomic
 

Similar Discussions

5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom