Mchina aua raia chunya kwa kisu

mwalimumpole

Member
Oct 17, 2010
48
0
Katika kile kinachosadikika ni mambo ya mapenzi, mchina mmoja amemua kijana mwenye umri kai ya miaka 19 - 30 jioni ya leo hapa chunya
 
hawa wachina sasa balaa hadi chunya wamefika? masikini nchi yangu sasa ni jamvi la wauwaji wa kigeni
 
Wanawake wa kichina wanapenda sana mabwana wa kiswahili na wa kizungu. Huko China wanawake ni wachache sana ukilinganisha na wanaume. Mvulana wa kichina anaweza kufikia miaka 30 hajawahi kutafuna epo. Akimpata mwanamke huwa anakuwa na wivu sana
 
Back
Top Bottom