Mchina atoa fake BMW makubwa haya!

MaxShimba

JF-Expert Member
Apr 11, 2008
35,772
4,054
FAKE BMW MADE IN CHINA
bmw_e60_m5-51_Kopie.jpg


ORIGINAL BMW HII HAPA CHINI

bmw_e60_m5-51fuig.jpg
 
Fake - Lexus LS 600 H Hybrid

Fake Details
Lexus-LS_600h_2010_1600x1200_wallpaper_01.jpg


Zote hizo juu ni FAKE Made in CHINA
 
Mchina mbona noma, japokuwa siku hizi viwanda vingi sana vinazalisha bidhaa zao China na kufanya simple renovation na kufanya ionekane kama fake products kutokana na utofauti huo.
 
kwani huyu jamaa watu hawaoni kile anachofanya!!?...maana si hapa Tanzania tu amekamata soko all over the world ulaya wanamjua huyu!!!
 
uzuri spea zinaingiliana, kwa iyo unanunua feki utakuwa unabadili na spea orijino
 
Hakuna hanayebisha hili,watu wanachoji ni patents rights za wavumbuzi zinakiukwa na kwa upande mwingine haki za walaji zinakiukwa pia!!
ikiwa hivyo yule aliyegundua gari la kwanza naye adai kwanini watu wametengeneza magari kumuiga,maana hii bmw na mengineyo ni mwendelezo wa ugunduzi wa gari la kwanza kabisa
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom