engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,150
- 1,437
Kila mkisikia Nyerere ndio alifanya madudu mnaumia roho? hampemdi kusikia ukweli? mmekaa mnadanganywa na nyie mnakubali, hivi huwa hamsikilizi hata hotuba zake? kuna nini cha maana zaidi ya udikteta?