Wazee wa kimasai hawajasoma ila sio wapumbavu kihivyo.Acha utani. Huyo ni bilionea toka zamani. Hakuna kitu cha maana unachoweza sana kumshauri
Wamasai wanaishi maisha simple sana, we angalia tu wamasai wangapi wana ngomb3 hata 200 lakini maisha anayoishi ni ya kawaida bila papara,Watu wanamshobokea pesa zake za kawaida na atafirisika tu
Usijifanye mjuzi kumbe Zero tuHabari wakuu,
Ninaona hili suala la Mmasai Leizer kupata madini 2 ya Tanzanite yenye thamani kubwa ya 7.8 billions ni kama propaganda fulani hivi.
Huenda ikawa ni white propaganda ya kuwaita wawekezaji wa nje au wa ndani kwenda kuwekeza kule Mererani.
Au ni propaganda yenye lengo fulani ambalo sisi hatulifahamu.
Anayemfahamu au kumjua vizuri Mr. Laizer atupe short of his life, maana isije ikawa ni mtu wa kitengo.
Harufi ya propaganda kwa maana kwamba Leizer kaandaliwa na hayo mawe mawili yameandaliwa kwa ajili ya show off? kwa maana nyigne unamaanisha hayo mawe hayapo??Habari wakuu,
Ninaona hili suala la Mmasai Leizer kupata madini 2 ya Tanzanite yenye thamani kubwa ya 7.8 billions ni kama propaganda fulani hivi.
Huenda ikawa ni white propaganda ya kuwaita wawekezaji wa nje au wa ndani kwenda kuwekeza kule Mererani.
Au ni propaganda yenye lengo fulani ambalo sisi hatulifahamu.
Anayemfahamu au kumjua vizuri Mr. Laizer atupe short of his life, maana isije ikawa ni mtu wa kitengo.
Ole Laizer, ubarikiwe sana na Bwana, na azidi kukuzidishia!
Katibu Mkuu Wizara ya Madini, Profesa Simon Msanjila amesema kuwa leo wizara inamtabua mchimbaji mdogo wa madini ya Tanzanite, Saninniu Laizer kuwa bilionea baada ya kupata mawe makubwa mawili yenye thamani ya shilingi bilioni 7.8.
Mchimbaji huyo amepata mawe hayo mawili ambapo moja lina kilo 9.2 ambalo thamani yake ni shilingi bilioni 4.5 na la pili lina kilo 5.8 lenye thamani shilingi bilioni 3.3.
“Na utofauti wake ni kwamba mawe ya uzito huo hayajawahi kupatikana kwenye machimbo ya Tanzanite tangu machimbo yaanze na yamepatikana ndani ya ukuta wa Mirereni kwahiyo hii ni rekodi mpya ya kupata mawe yenye uzito huo,” amesema Prof. Msanjila.
Profesa Msanjila amesema kuwa sekta ya madini inauwezo wa kumfanya mtu kuwa bilionea kwa haraka, ameongeza kuwa kunahitaji kuwa uwekezaji wa dhati katika sekta hiyo.
Serikali imenunua mawe hayo kutoka kwa mchimbaji huyo na yatawekwa katika makumbusho ya taifa
Kwani wakiyapaka rangi wewe utajua?Harufi ya propaganda kwa maana kwamba Leizer kaandaliwa na hayo mawe mawili yameandaliwa kwa ajili ya show off? kwa maana nyigne unamaanisha hayo mawe hayapo??
Sent from my SM-G965U using JamiiForums mobile app
Hawezsi kufilisika!Ongeza kidogo atumie 200,000 kwa siku,,sawa na miaka zaidi ya 100,
Yaani hapo hafanyi kazi ni kutumbua tu
dah..hongera kwaoKuna mwana yupo kule anasema kwenye huo mgodi kuna raia wamekula mil 200 wengine mil 70- mil 150 yaani waliokuwepo huko chini hakuna aliyetoka mtupu kila mmoja kapiga pande yake.
Akiwa Shimoni alipiga Simu kwa Maofisa wa Wizara ya Madini wakaja kuliona wakalibeba na kwenda nae kwenye office zao....Hivi askari wakigundua una mzigo wa namna hiyo wanakuacha kweli?
Kumbe yuko smart, maaskari hawakawii kukumwagia njugu na kusema ni jambaziAkiwa Shimoni alipiga Simu kwa Maofisa wa Wizara ya Madini wakaja kuliona wakalibeba na kwenda nae kwenye office zao....
Kama ingekua Askari ingekuwa HABARI ingine...
Jamaa ni yupo na Uzoefu, Hafu sio Masikini kabla hata hajapata hayo Mawe.Kumbe yuko smart, maaskari hawakawii kukumwagia njugu na kusema ni jambazi
Mng'ato, hebu fuatilia sualala huyu mchimbaji mdogo na namna alivyo - hustle for nine years hadi alipotoboa juzi! Huna haja ya kusaidiwa na Serikali pale unapoweza, ila pale parefu then kuna haja ya mkono wa Serikali. Hilo la kulisha wana Apolo wake ameliweza ndio chanzo cha hayo mafanikio. Ila itakapokuja kwenye uwekezaji MZITO wa huyu mchimbaji mdogo, nashauri yeye aihusishe Serikali ili imusaidie.Serikali ilimsaidia kulisha wale wana apollo sio?
kwani utalii huwa unaleta faida gani?Dhana ya kuweka mawe hayo makumbusho yanaleta faida gani?
🤣🤣🤣🤣🤣 Jf make me happy whenever i want to be...Sasa kwanini huyo Prof. nae asije huku porini aje apate ubilionea mapema?