Watu wa St Anna wine mna mbwembweNilisoma tuition mapambano Tena kwa kulazimishwa likizo ya form five, hakukuwa na jipya maana niliona wale walimu vilaza Bora walimu wetu wa shule maana wali cover everything, kipindi kingine sikuruka Tena hapo nikawa najisomea zangu vitabu na notice, nikatoboza kwa ufaulu mzuri wa mabanda mawili
Tulia j3 mnafungua shule acha kelele! Na ww utakuja kuongea na kizazi chako miaka hyoooo!!! Ila kwa sasa tuache wakongwe tukumbushane enzi zetu za misuli bedWrite your reply...Watu wanaisifia elimu ya zamani as if iliwafanya wagundue vitu au wawe unique sana kuliko wanaosoma sasa. lakin ukifuatilia pepa zao ni zakawaida tu wala hazina maajabu yeyote. sion sababu ya kuisifia elimu ya zamani.
Kwanza nmejiajiri,am proud of myself for my achievementsSasa hivi uko wapi Mkuu ?
Tunataka kupima impact ya hizo tuition zenu
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Yule mwl alikuwa anajaza watu kwenye paper la pure math pale jangwani aiseeMoody Physics, Mtata De Mtatuz Adv Maths. Jumane & Jumamosi tunapiga zoezi la Pure kwa Manyilizu Jangwani.
Shule zilikuwa ni examination center tu.
Write your reply...Watu wanaisifia elimu ya zamani as if iliwafanya wagundue vitu au wawe unique sana kuliko wanaosoma sasa. lakin ukifuatilia pepa zao ni zakawaida tu wala hazina maajabu yeyote. sion sababu ya kuisifia elimu ya zamani.
usinambie huyu mwamba amefariki? R.I.P Ngida daah chemistry na bios nimepiga sana kwake!Umemsahau the late Babangida wa Bios.
Watu wa St Anna wine mna mbwembwe
Teknolojia na maendeleo katika sekta ya elimu imerahisisha elimu..........sasa kama elimu yako tu imeshindwa kukusaidia kuelewa kwa nn watoto wanafaulu sana sasa hv halaf unasema ndo ilikuwa elimu ya kweli???Point 7 ilikuwa nadra sana au ikipatikana ni moja tu kitaifa. Siku hizi madogo tena mademu eti darasa zima lina point 7! Nyakati kweli zimebadilika au mitihani inatungwa mirahisi sana siku hizi?
Uzi umejaa ujinga mtupu.
Mkuu hili sijui na sijui kabisa kama hufaga kwa ugonjwa huo?Requal kwanini Walimu wengi wa hapo ( Mchikichini ) unapopasifia hivi hufa ( hufariki ) sana na ule Ugonjwa uliogundulika hasa mwaka 1981?
Weraaa chief umeikuta wapi hiiMchikichiniView attachment 1486586
Kabisa chiefSaid Mgote Kkoo/Sir Abdallah Ubungo/ Sir Mtiga. Physics Advance
Mwarami Kkoo/Muunzi Jangwan. Advance Maths.
Issue Boy Kkoo. Advance Chem.
Aiden / Mtata de Mtatuz. Mchikichini. Basic Maths.
Sir Unga Mchikichini. Chemistry Olevel.
Mbuga Mchikichini. Biology Olevel.
Muddy Mchikichini. Pysics Olevel.
Mungu awabariki sana hawa jamaa popote pale walipo.
Walitusaidia sana watoto wa shule za KATA.
Watoto wakishua hawawezi kuzielewa hizi Hustle back then.
Nopekumbe mwanafunzi, nilijua shule ndo iliingia top ten
hapa hatujadili mtu chief.Sasa hivi uko wapi Mkuu ?
Tunataka kupima impact ya hizo tuition zenu
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app