ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 42,433
- 49,102
Simba ya Tzn imeichapa AS VITA ya DRC Congo 2-1 katika mtanange wa kusisimua na Soka maridadi
Vita wameonja ukali wa makucha ya Simba na kutinga hatua ya robo fainali kuiwakilisha nchi na Kanda nzima ya EAC
Tafadhar kesho Gormahia msitie aibu EAC,heko Simba na Soka la Tzn
Vita wameonja ukali wa makucha ya Simba na kutinga hatua ya robo fainali kuiwakilisha nchi na Kanda nzima ya EAC
Tafadhar kesho Gormahia msitie aibu EAC,heko Simba na Soka la Tzn