Old Member (Retired)
JF-Expert Member
- Sep 29, 2012
- 3,401
- 1,604
Wengi wenu mnakumbuka jinsi Samuel Sitta alivyopigwa chini na Chama Cha Mapinduzi katika kiti cha uspika kwa kigezo kwamba "huu ni wakati wa wanawake", CCM wakaamua kumpa kiti cha uspika Bibi Makinda na kumtupilia mbali Sitta.
Kutokana kwamba Lowasa amekuwa akipita huku na kule akipiga kampeni zake za chini kwa chini ili apate uraisi 2015 wakati huo huo wapinzani wake karibia wote wanaona hawana uwezo wa kushindana nae wamekuwa wakiandaa mbinu mpya ya kumuandaa Bibi mwingine ambaye ni Asha Rose Migiro. Bibi huyo aliyewahi kufanya kazi na UN na kuonyesha uwezo mdogo katika utendaji na kuliabisha taifa hivi juzi ameteuliwa kuwa mbunge na raisi kama moja ya mkakati ya kumdhohofisha Lowasa.
Siku si nyingi naamini mbibi huyu atateuliwa kuwa waziri na atazidi kuzunguka nchini ili kujiongezea umaarufu na kujitambulisha zaid kwa wananchi wa vijijini.
Swali: je? mwanamke huyu na watu waliyo nyuma yake wataweza kushindana Lowasa?
Kutokana kwamba Lowasa amekuwa akipita huku na kule akipiga kampeni zake za chini kwa chini ili apate uraisi 2015 wakati huo huo wapinzani wake karibia wote wanaona hawana uwezo wa kushindana nae wamekuwa wakiandaa mbinu mpya ya kumuandaa Bibi mwingine ambaye ni Asha Rose Migiro. Bibi huyo aliyewahi kufanya kazi na UN na kuonyesha uwezo mdogo katika utendaji na kuliabisha taifa hivi juzi ameteuliwa kuwa mbunge na raisi kama moja ya mkakati ya kumdhohofisha Lowasa.
Siku si nyingi naamini mbibi huyu atateuliwa kuwa waziri na atazidi kuzunguka nchini ili kujiongezea umaarufu na kujitambulisha zaid kwa wananchi wa vijijini.
Swali: je? mwanamke huyu na watu waliyo nyuma yake wataweza kushindana Lowasa?