Headcorner
Senior Member
- Nov 26, 2020
- 188
- 277
Taarifa mpya ya maelekezo toka serikali
Mpaka sasa hawataki kuwaambia watanzania chanzo cha mechi kusogezwa mbele...pesa za viingilio ndo kwaheri
Nguvu mnayoiweka kwenye mipira igeliwekwa kwenye shida za nchi hii, pressing issues, mbona tungelikuwa mbali sanaHivi mbona wanakwepa sana kusema ni nini kilisababisha kughairi huu mchezo?
Kwanini hatuambiwi tatizo lilikuwa nini?
Ukiona hivyo sababu hazina mashiko😅😅Hivi mbona wanakwepa sana kusema ni nini kilisababisha kughairi huu mchezo?
Kwanini hatuambiwi tatizo lilikuwa nini?
Ndio mana Manara amewaita takataka. Minafiku. Yaan miandishi na michambuz yetu hovyooo kbsa. Na hii ni kwa kuwa elimu zao ni za chini mno. Ni div 4 na 0. Kama nadanganya hebu mtaje mwenye div ONE / TWO. O- level na A-levelWale wapumbavu waliokuwa wanasema serikali HAIUSIKI Na TFF mmeona?.
Yaani serekali imeamua kuingilia masuala la soka kienyeji enyeji hivi? Ngoja nicharaze barua yangu fasta kwenda FIFA ili spana zifanye kazi.
Hapo mwisho kama umesoma wamesema serikali ilikuwa na nia njema kusogeza muda wa mpira, Sasa sijui nia yao njema ambayo hawajaisema ni ipi kama inatambulika na kanuni na sheria za FIFA za serikali kutoingilia mambo ya TFFHivi mbona wanakwepa sana kusema ni nini kilisababisha kughairi huu mchezo?
Kwanini hatuambiwi tatizo lilikuwa nini?
futiboli haihusiani na elimu....Ndio mana Manara amewaita takataka. Minafiku. Yaan miandishi na michambuz yetu hovyooo kbsa. Na hii ni kwa kuwa elimu zao ni za chini mno. Ni div 4 na 0. Kama nadanganya hebu mtaje mwenye div ONE / TWO. O- level na A-level
Wajanja kweli hawa wanajua fika watz ni wavivu wa kusoma.....gazeti reeeeefu