Mchezo wa Simba na Yanga kuchezwa tena, Mashabiki kurudishiwa tiketi zao

Headcorner

Senior Member
Nov 26, 2020
188
277
Taarifa mpya ya maelekezo toka serikali

IMG-20210511-WA0035.jpg

IMG-20210511-WA0036.jpg
 
Hivi mbona wanakwepa sana kusema ni nini kilisababisha kughairi huu mchezo?

Kwanini hatuambiwi tatizo lilikuwa nini?
Hapo mwisho kama umesoma wamesema serikali ilikuwa na nia njema kusogeza muda wa mpira, Sasa sijui nia yao njema ambayo hawajaisema ni ipi kama inatambulika na kanuni na sheria za FIFA za serikali kutoingilia mambo ya TFF
 
Back
Top Bottom