Mwalimu
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 1,581
- 1,069
Wadau,
Nakumbuka kwenye miaka ya themanini mchezo wa mieleka ulitokea kuwa maarufu sana hapa bongo. Kulikuwa na wababe kama Power Bernado, Power Vuru Mroma, Power TX Chaka, Power Bukuku na wengineo.
Kuna yeyote mwenye taarifa za magwiji hawa waliishia wapi?
Nakumbuka kwenye miaka ya themanini mchezo wa mieleka ulitokea kuwa maarufu sana hapa bongo. Kulikuwa na wababe kama Power Bernado, Power Vuru Mroma, Power TX Chaka, Power Bukuku na wengineo.
Kuna yeyote mwenye taarifa za magwiji hawa waliishia wapi?