bryan2
JF-Expert Member
- Jun 8, 2016
- 3,323
- 4,667
Nipo kijiwe Kimoja cha kuangalia Mpira,Man utd akipiga mtu Goli 4 mashabiki wengi hasa wa Arsenal&Chelsea walikua wakisema Westham ni Wahenga Kisa kina Zabaleta,Joe hart ndio maana wakala Viboko Vinne Safi.
Leo tena kuna wengine wamekula bakora Nne bila majibu sijui nao ni wahenga??
Hatimaye Baily afunga goli lake la Kwanza akiwa na Man utd.
Kwanini Mourihno leo hakua akishangilia??
Kama Vipi tupewe Kombe letu tu..
Sent using Jamii Forums mobile app
Leo tena kuna wengine wamekula bakora Nne bila majibu sijui nao ni wahenga??
Hatimaye Baily afunga goli lake la Kwanza akiwa na Man utd.
Kwanini Mourihno leo hakua akishangilia??
Kama Vipi tupewe Kombe letu tu..
Sent using Jamii Forums mobile app