Bora angeitumikia jamii bila malipo....Angemeza sumu kuliko kijirusha
Wazo zuriBora angeitumikia jamii bila malipo....
Au angeenda kupambana na wale jamaa wa Kibiti
Hajamfikia muahasisi,, apo mbona pafupi ata mimi narukaHuyu alijiandaa.
Wanaofia uwanjani kwenye boxing Habari zao huwa zinasomwa kwenye Habari za uchumi?Kwenye taarifa ya habari ITV leo katika habari za michezo nimesononeshwa sana nafsi kwa habari iliyosomwa ya mchezo wa kuruka toka ghorofani, nimekaa nikasema hebu niangalie mchezo huu mpya,
La haula ningejua nisingeangalia!
Mara tunaoneshwa mchezaji wa mchezo huo kijana hivi akiwa juu ya majengo Yale mapya ya Magomeni Ghorofa ya 13
Huku chini pakiwa pameandaliwa Sim tank yenye maji kama mahali pa kufikia mrukaji akitoka juu, huku mashabiki kiasi wakiwa wanasubiri kwa hamu mchezaji kujirusha!
Muda ukafika mchezaji huyo akajirusha na kutumbukia kwenye sim tank,
Sekunde kadhaa kupita jamaa hakuibuka toka kwenye sim tank
Baadhi wakakombilia ili kumuona kama yuko salama
Laa haula jamaa amevunjika miguu yote na kuwahishwa muhimbili.
Mwisho msomaji wa habari hii Issa Ndokeji akasema kwa taarifa walizozipata karibuni ni kuwa mtu huyo amefariki dunia!!
Kimsingi nimesononeka sana tena sana na habari hii na kufanya usiku wangu kuwa mbaya sana!
Simfahamu huyo jamaa lakini sidhani kama ilikua sawa kwa habari hii kwenda hewani hasa ukizingatia katika sehemu ya michezo na burudani ambapo nilitarajia habari za kuburudisha na kufurahisha,
Kama kweli amekufa, basi naomba Mungu amlaze mahali pema Amin.
Huyo jamaa kafa kwa ujinga.Kwenye taarifa ya habari ITV leo katika habari za michezo nimesononeshwa sana nafsi kwa habari iliyosomwa ya mchezo wa kuruka toka ghorofani, nimekaa nikasema hebu niangalie mchezo huu mpya,
La haula ningejua nisingeangalia!
Mara tunaoneshwa mchezaji wa mchezo huo kijana hivi akiwa juu ya majengo Yale mapya ya Magomeni Ghorofa ya 13
Huku chini pakiwa pameandaliwa Sim tank yenye maji kama mahali pa kufikia mrukaji akitoka juu, huku mashabiki kiasi wakiwa wanasubiri kwa hamu mchezaji kujirusha!
Muda ukafika mchezaji huyo akajirusha na kutumbukia kwenye sim tank,
Sekunde kadhaa kupita jamaa hakuibuka toka kwenye sim tank
Baadhi wakakombilia ili kumuona kama yuko salama
Laa haula jamaa amevunjika miguu yote na kuwahishwa muhimbili.
Mwisho msomaji wa habari hii Issa Ndokeji akasema kwa taarifa walizozipata karibuni ni kuwa mtu huyo amefariki dunia!!
Kimsingi nimesononeka sana tena sana na habari hii na kufanya usiku wangu kuwa mbaya sana!
Simfahamu huyo jamaa lakini sidhani kama ilikua sawa kwa habari hii kwenda hewani hasa ukizingatia katika sehemu ya michezo na burudani ambapo nilitarajia habari za kuburudisha na kufurahisha,
Kama kweli amekufa, basi naomba Mungu amlaze mahali pema Amin.
Hakudhamiria kujiua...alikuwa yupo kwenye majaribio ya mchezo husika
angalia post [HASHTAG]#245[/HASHTAG] hapo au You tube!
!
Hii video inapatikana wapi
Wa kushoto....Mkuu nakwaminia kwa upande huo.
angalia post [HASHTAG]#245[/HASHTAG] hapo au You tube
aah sijajua mkuu!
!
You tube niisearch kwa jina gani? Post [HASHTAG]#245[/HASHTAG] niliidownload lakini sikuona kama ina uhusiano na hii Habari.
huyu sawa yule wa kwetu mmmhHuyu alijiandaa.
Dont try this at homeHakuwa na 'maandalizi' yoyote ya maana...kawaiga wazungu na wahindi na wachina kumbe kuna siri ya mchezo isiyosemwa
OkWa kushoto....