Captain mopao
Senior Member
- Feb 25, 2021
- 133
- 379
Habari zenu ndugu zangu
Naomba kushea na nyie jambo hili
Leo nilikuwa Mahakamani kwa ajili ya shughuli zangu nikakutana na mama mmoja anafuatilia mirathi ya mumewe. Katika mazungumzo yetu akanidokeza jambo moja ambalo nimeshangaa sana.
Anasema baada ya shauri la mirathi kuisha alipewa barua inayomtambulisha kua msimamizi ili akafatilie pesa na mambo mengine
Mumewe alikuwa ni mfanyakazi wa umoja wa mataifa UN.
Alianza na benki aliokuwa anachukulia mshahara mumewe.
Alivyofika baada ya kuwaonesha document walimwambia angoje kidogo wafanyie kazi.
Baada ya muda kidogo wakamuita na kumpa bank statement ambayo alitakiwa apeleke Mahakamani
Bank statement ilionesha account ilikuwa na laki moja na sent kiasi
Akaondoka mpaka Mahakamani na kukabidhi bank statement kwa karani
Anasema karani hakuwa na imani na kiasi cha pesa kilichopo kwenye account ya marehemu kwa sababu document zilionesha alikuwa analipwa milioni 2 kwa mwezi
Karani wa mahakama ikabidi apige simu benki na kuhoji maswali kadhaa kuhusu utata huo
Benki walimjibu kwamba walikosea na kwamba taarifa sahihi account ina milioni mbili na point
Inavyoonekana huu mchezo benki wanaucheza sana.
Fikiria wangapi wamedhulumiwa kwa mtindo kama huu
😡
Naomba kushea na nyie jambo hili
Leo nilikuwa Mahakamani kwa ajili ya shughuli zangu nikakutana na mama mmoja anafuatilia mirathi ya mumewe. Katika mazungumzo yetu akanidokeza jambo moja ambalo nimeshangaa sana.
Anasema baada ya shauri la mirathi kuisha alipewa barua inayomtambulisha kua msimamizi ili akafatilie pesa na mambo mengine
Mumewe alikuwa ni mfanyakazi wa umoja wa mataifa UN.
Alianza na benki aliokuwa anachukulia mshahara mumewe.
Alivyofika baada ya kuwaonesha document walimwambia angoje kidogo wafanyie kazi.
Baada ya muda kidogo wakamuita na kumpa bank statement ambayo alitakiwa apeleke Mahakamani
Bank statement ilionesha account ilikuwa na laki moja na sent kiasi
Akaondoka mpaka Mahakamani na kukabidhi bank statement kwa karani
Anasema karani hakuwa na imani na kiasi cha pesa kilichopo kwenye account ya marehemu kwa sababu document zilionesha alikuwa analipwa milioni 2 kwa mwezi
Karani wa mahakama ikabidi apige simu benki na kuhoji maswali kadhaa kuhusu utata huo
Benki walimjibu kwamba walikosea na kwamba taarifa sahihi account ina milioni mbili na point
Inavyoonekana huu mchezo benki wanaucheza sana.
Fikiria wangapi wamedhulumiwa kwa mtindo kama huu
😡