Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,262
- Thread starter
- #61
Je mna shaka naye? Kazi yake ni kumwaga maji tu ndani ya 18Amna kitu hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Je mna shaka naye? Kazi yake ni kumwaga maji tu ndani ya 18Amna kitu hapa
Ni mchezaji mzuri anahitaji muda wa ku adapt.Zana anakuja vizuri
Mcheki ninja anavyoangalia kinyonge hapoMuulizeni ninja alikula chenga hadi akakaaView attachment 1024978
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata Chama ameanza kupigwa misumari.Ajiandae kwa misumari tu, Kwasi atanielewa zaidi hapa!