Coffee
JF-Expert Member
- Jul 16, 2017
- 1,290
- 1,277
HahaaaaKama Amber Rutty
HahaaaaKama Amber Rutty
Mbavu zangu 😁😂😂👊Mzee akilimali
Kwani luwassa amepata uzeeni tuvumiliane tuMbona kapata mvi akiwa mdogo sana!
Nipe matokeo ya Liverpool Mkuumashabiki Wa Liverpool na simba tujuane maana hili LA simba limeisha tunaenda kumaliza Kwa PSG..
Yanga 3 JKT Tanzania 0Hahahahaha,wale bado siku kama ngap tu tuwasahau katika taswila ya soka
KwasiNani ataondoka ili huyu beki apate nafasi ya wachezaji wa kigeni ?
Ni Niyonzima ?
Ukinikumbusha Pape Ndew nalia sana mimiukiona west African anakuja huku mkweche..unakuta anavyuma miguu yote..wale hasira zao Ulayaaaa
Kumbe DRC ipo West Africa,duh Mimi nilikuwa sifahamu hiliKama Kindoki
Na Mbao piaTunawasubili mkicheza na Lipuli FC ndio tujue level yenu Mkuu!!!
Haha Mpira unamatokea katiri sana!!Nipe matokeo ya Liverpool Mkuu
Nimetoka kuanhalia Clip za huyu jamaa, asee ni hatari tupu anakaba mpaka kivuli
Inawezekana ulikua mdogo, Simmba wakati ina cheza nusu fainali ya klabu bingwa afrika haikua na mchezaji kutoka nje,Simba wakati inacheza fainali ya CAF ilikua na mgeni mmoja tu.Kwani ambapo hatuchukui wachezaji kutoka nje mpira wetu umefika wapi?
Na wachezaji wetu nani amewazuia kutoka nje ya nchi?
PovuPambana na hali ya Kanjibai..Simba ni habari nyingine, endeleeni kufuga Vyura pale bwawani
Inawezekana ulikua mdogo, Simmba wakati ina cheza nusu fainali ya klabu bingwa afrika haikua na mchezaji kutoka nje,Simba wakati inacheza fainali ya CAF ilikua na mgeni mmoja tu.
Ajiandae kwa misumari tu, Kwasi atanielewa zaidi hapa!Mwana Kulitaka Mwana Kulipewa. Karibu Unyamani View attachment 951680
Unamuonaje huyu sasa? UnamuelewaAjiandae kwa misumari tu, Kwasi atanielewa zaidi hapa!