Papaa Mobimba
JF-Expert Member
- Jan 27, 2018
- 753
- 3,096
Amazing experience to see and photograph these beautiful animals in the wild with my family. Karibu Ruud van Nistelrooy ameweka picha za wanyama mbalimbali katika ukurasa wake wa Mtandao wa Twitter
Van Nistelrooy ambaye kwa sasa ni kocha wa timu ya chini ya miaka 19 ya PSV Eindhoven ameonesha kushangazwa na uzuri wa Wanyama hao, amewakaribisha watu Tanzania
Kabla ya kutundika daluga alizichezea timu za Den Bosch, Heerenveen, PSV Eindhoven, Manchester United, Real Madrid, Hamburger SV na Málaga
Van Nistelrooy ambaye kwa sasa ni kocha wa timu ya chini ya miaka 19 ya PSV Eindhoven ameonesha kushangazwa na uzuri wa Wanyama hao, amewakaribisha watu Tanzania
Kabla ya kutundika daluga alizichezea timu za Den Bosch, Heerenveen, PSV Eindhoven, Manchester United, Real Madrid, Hamburger SV na Málaga