The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 5,452
- 17,155
Kwa wale mashabiki wa Arsenal, mchezaji wa zamani wa Timu hiyo yuko Dar es Salaam kwa mualiko wa Sport Pesa na jana alikua maeneo ya Break Point Konondoni akifurahia maisha.
Hawa wafadhili wapya wa Simba na Yanga wanajitahidi kuitangaza Nchi yetu. Wanatuletea watu wenye Majina makubwa sana hapa Bongo.
Meridian, Mbet sijui nani hawajawahi hata kumleta Nameless wa Kenya hapa Bongo au Kamilioni.
Watu wa Kubet, betini na sport pesa ipate hela ilete watu maarufu watutangazie nchi yetu.
Hawa wafadhili wapya wa Simba na Yanga wanajitahidi kuitangaza Nchi yetu. Wanatuletea watu wenye Majina makubwa sana hapa Bongo.
Meridian, Mbet sijui nani hawajawahi hata kumleta Nameless wa Kenya hapa Bongo au Kamilioni.
Watu wa Kubet, betini na sport pesa ipate hela ilete watu maarufu watutangazie nchi yetu.