Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hata mimi ntakuja kusilimu ili tu nioe wake wa 4
Hili jambo kila mwanaume analipenda ndo maana hata Emanuel naye yasemekana alizaa na Magdalena mtoto wa Kiume.Nadhani kungekuwa na uthibitisho wanaume wote tungekuwa waislam,automatically Dunia nzima.Hapo kwa wake wa nne tupo pamoja mkuu plus zile ahadi za pepo juu ya wanawake wazuri tutakao pata hua zina nikosha moyo sana.
Nyingine hiiHata Michael Jackson mlisema hajawa Muislam. Ndiyo zenu hizo...
Hiyo type yake wanapatikana wapi na mimi nikaoe huko?faiza Foxy nitakuja kuoa mtu wa type yako, maana mko wachache sanaa,,
Sent using Jamii Forums mobile app
nakumbuka Mazishi ya Michael yaliendeshwa na Reverend kwenye uwanja wa Stample CentreHata Michael Jackson mlisema hajawa Muislam. Ndiyo zenu hizo...
Hahahahaa....mume subiri amepata post career depression mkamkimbilia!
Dini ni ma-opportunists!
@FaizaFoxy mimi nataka nisilimu ili tuanze kupeana vinono nikisitiri mtoto wa kikeSababu nzuri sana hiyo kwani utakuwa umesilimu na umejisitiri nq zinaa na umesitiri wanawake wanne.
Tunakutakia kila la heri na usisilimu kwa kushinikizwa ila kwa sababu zako mwenyewe, zozote zile.
Kwa watakaomuamini yeyeKwa YESU KRISTO kila goti litapigwa...
Watasilimu wengi maanake huko walipo wameruhusu ushoga na usagaji juzi Raisi wa Philippines kamuomba papa awasitiri mapadre na makasisi wengi ni mashoga wenyewe kwa wenyewe wengine ni vitoto vya kwaya yaaani kumejaa uchafu mtupu ushoga, usagaji, kutembea uchi,zinaa mapicha ya ngono kila kitu kwao rukhsa!!!!!Kwa watakaomuamini yeye
Na wanao Amini vingine hawatapiga ng'oooo
Yeye mwenyewe alipiga goti kwa Mungu
Mpigieni Mungu goti
Sent using Jamii Forums mobile app