kijanamdogo
JF-Expert Member
- Feb 25, 2018
- 231
- 176
Hakika nimeshangazwa na kitendo cha kihuni na kisicho cha kistarabu lea mchezahi wenye umri mkubwa, mchezaji wa timu ya Taifa na Klabu kubwa nchini Yanga Kelvin Yondani kumtemea mate mchezaji wa Klabu ya Simba juzi uwanja wa Taifa.
Naziomba mamlaka husika TFF na bodi ya ligi mumwadhibu mchezaji huyo kwani ameonyesha utovu wa nidhamu uwanjani ukizingatia ni mchezaji wa Timu ya Taifa anayestahili kuwa mioo cha jamii.
Naziomba mamlaka husika TFF na bodi ya ligi mumwadhibu mchezaji huyo kwani ameonyesha utovu wa nidhamu uwanjani ukizingatia ni mchezaji wa Timu ya Taifa anayestahili kuwa mioo cha jamii.