KIM KARDASH
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 5,139
- 1,139
- Thread starter
- #41
huyu okwi hivi mmeloga apa bongo make hata uganda anasugua benchi, ebu nipe jibu basi ilikuaje amekosa soko huyu mchezajo bora kadolora kabaki kutia huruma tu, ameshindwa kupata timu india ebu jibu wacha jazba
Hili swali labda tumuulize sintah maana naskia jamaa haoni hasikii kwa jlo wa bongo sintah wa juma nature