digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 7,892
- 14,347
Vipi mbeligiji naye nasikia kawekwa karantiniinasemekana kapata corona Tanzania
Vipi mbeligiji naye nasikia kawekwa karantiniinasemekana kapata corona Tanzania
inawezekana kabisa, haya mambo sio ya kuchukulia ushabiki, nchi nyingi corona wanaichukulia serious sana. niliona wachezaji wa taifa stars wakiwa uturuki wamevaa barakoa. itakuwa wamepimwa.Kama n hvo hata Taifa Stars wanaweza wasicheze na Tunisia maana wote wanaweza kukutwa na Covid19.
Corona ipo...waanze kupima watu mtaani utashangaaBelieve it or not Wakenya bado inawauma sana kuona Corona haija athiri Tanzania kama kwao. Yule jamaa anadai Federation wameamua kufanya siri. Siri! Wakenya wafanye siri kwa manufaa ya nani?
Ya kwao wenyewe hawafanyi siri sembuse mchezaji alietokea Tanzania? Kwa upendo gani waliokua nao dhidi yetu na kuamua kulinda image yetu!
Nitaamini endapo Federation ya Kenya itatangaza ila sio source uchwara.
Kweli ipo issue ni credibility ya mleta hizo habari.Corona ipo...waanze kupima watu mtaani utashangaa