Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,206
- 4,698
Breaking: Mchezaji wa Orlando Pirates atimuliwa kwenye nyumba na kufilisiwa Mali zake alizoaziandika kwa jina la Mkewe.
Mchezajini wa Orlando Pirates Tendai Ndoro (36) amepoteza Mali zake zote kwa kufilisiwa baada ya kuachana na mkewe Thando Maseke ambaye ni raia wa Afrika kusini.
Taarifa zinaeleza kuwa Mchezaji huyo ambaye ni raia wa Zimbabwe aliandikisha mali zake zote ikiwemo Nyumba na magari ya kifahari kwa jina la Mkewe na hivyo kufuatia mgogoro baina yao alitimuliwa kwenye Nyumba waliyokuwa wakiishi Jijini Johenberg.
Tendai Ndoro na Thando Maseke enzi za ndoa yao
Mchezajini wa Orlando Pirates Tendai Ndoro (36) amepoteza Mali zake zote kwa kufilisiwa baada ya kuachana na mkewe Thando Maseke ambaye ni raia wa Afrika kusini.
Taarifa zinaeleza kuwa Mchezaji huyo ambaye ni raia wa Zimbabwe aliandikisha mali zake zote ikiwemo Nyumba na magari ya kifahari kwa jina la Mkewe na hivyo kufuatia mgogoro baina yao alitimuliwa kwenye Nyumba waliyokuwa wakiishi Jijini Johenberg.
Tendai Ndoro na Thando Maseke enzi za ndoa yao