Jibaba Bonge
JF-Expert Member
- May 6, 2008
- 1,246
- 401
Wakuu kuna habari eti kuwa miaka ya nyuma sana wachezaji wa Simba na Yanga walikuwa wakichezea timu zao kwa mapenzi ya moyo kabisa siyo kama kazi. Kutokana na mapenzi hayo, walikuwa hawahami kutoka timu moja kwenda nyingine.
Mchezaji aliyevunja mwiko huo ni Ezekiel Grayson aliyehama toka Yanga kwenda Simba. Hivi ni kweli?
Mchezaji aliyevunja mwiko huo ni Ezekiel Grayson aliyehama toka Yanga kwenda Simba. Hivi ni kweli?