Ketoka
JF-Expert Member
- Sep 23, 2015
- 1,087
- 1,913
-Shiva N'Zigou alidai kuwa alifanya mapenzi na dadake na shangaziye
-Alisema alifanya hivyo kusaidia katika kukuza uchezaji wake
-Shiva alidai kuwa mamake alitolewa kafara
Mchezaji kandanda aliyestaafu kutoka Gabon, Shiva N'Nzigou, ametoa madai ya ajabu kwamba mamake alitolewa kafara kumsaidia kukuza uchezaji wake.
Nyota wa kandanda Afrika, Shiva N'Zigou akiri kufanya mapenzi na dadake na kumtoa kafara mamake
Mchezaji huyo aliye na miaka 34 wa Nantes, alisema hayo wakati wa mahojiano na Daily Star, UK.
Alisema pia kuwa alifanya mapenzi na dadake na shangaziye ili kuwa maarufu katika ulimwengu wa soka
Shiva pia alikiri kuwa alikuwa miaka mitano zaidi ya miaka anayotumia kucheza kandanda, na kusisitiza kuwa ni wazazi wake ambao walibadilisha siku yake ya kuzaliwa.
“Nilifanya mapenzi na shangazi yangu na pia dadangu. Nilala pia na mwanamume na nilikuwa katika uhusiano wa muda mrefu na mwanamume,” alisema kulingana na Daily Star, UK.
N'Zigou alikuwa mchezaji wa umri wa chini kabisa kuwahi kuchezea Africa Cup of Nations.
Akiwa na miaka 16 na siku 93, alitia wavuni bao na kuifanya Gabon kushinda Afrika Kusini 3-1 Africa Cup of Nations. Ndiye mchezaji wa umri mdogo zaidi kuwahi kufunga katika mashindano
Alichezea Gabon mechi 24 kati ya 2000 na 2008 na kufunga mabao matano. Aliacha kucheza 2016.
Sent using Jamii Forums mobile app
-Alisema alifanya hivyo kusaidia katika kukuza uchezaji wake
-Shiva alidai kuwa mamake alitolewa kafara
Mchezaji kandanda aliyestaafu kutoka Gabon, Shiva N'Nzigou, ametoa madai ya ajabu kwamba mamake alitolewa kafara kumsaidia kukuza uchezaji wake.
Nyota wa kandanda Afrika, Shiva N'Zigou akiri kufanya mapenzi na dadake na kumtoa kafara mamake
Mchezaji huyo aliye na miaka 34 wa Nantes, alisema hayo wakati wa mahojiano na Daily Star, UK.
Alisema pia kuwa alifanya mapenzi na dadake na shangaziye ili kuwa maarufu katika ulimwengu wa soka
Shiva pia alikiri kuwa alikuwa miaka mitano zaidi ya miaka anayotumia kucheza kandanda, na kusisitiza kuwa ni wazazi wake ambao walibadilisha siku yake ya kuzaliwa.
“Nilifanya mapenzi na shangazi yangu na pia dadangu. Nilala pia na mwanamume na nilikuwa katika uhusiano wa muda mrefu na mwanamume,” alisema kulingana na Daily Star, UK.
N'Zigou alikuwa mchezaji wa umri wa chini kabisa kuwahi kuchezea Africa Cup of Nations.
Akiwa na miaka 16 na siku 93, alitia wavuni bao na kuifanya Gabon kushinda Afrika Kusini 3-1 Africa Cup of Nations. Ndiye mchezaji wa umri mdogo zaidi kuwahi kufunga katika mashindano
Alichezea Gabon mechi 24 kati ya 2000 na 2008 na kufunga mabao matano. Aliacha kucheza 2016.
Sent using Jamii Forums mobile app