CHAI CHUNGU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 7,113
- 930
Mwanaume mmoja anayekadiliwa kuwa na umri kati ya 20-25 amekutwa amekufa ndani ya nyumba ya kulala wageni(guest)maeneo ya sinza,baada ya kumpekua alikutwa na pasi ya kusafiria ya Nigeria na akiwa na invitation ya club ya Azam.Kwa mujibu wa kamanda Kenyera maiti ya msukuma ndinga huyo imeifadhia hospital ya mwananyamala.
Maofisa wa club ya Azam hawakupatikana kuongelea hilo.
Ulikuja kutafuta maisha tz but M/mungu ameichukua hazina yake ukiwa tz.
RIP kamanda.
Maofisa wa club ya Azam hawakupatikana kuongelea hilo.
Ulikuja kutafuta maisha tz but M/mungu ameichukua hazina yake ukiwa tz.
RIP kamanda.