Chachu Ombara
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 5,897
- 10,358
NYOTA wa Klabu ya Crystal Palace na timu ya Taifa ya Ufaransa, Mamadou Sakho na Mkewe Majda Sakho wamewasili Bungeni kwa ajili ya kujionea shughuli mbalimbali za Kibunge. Mamadou Sakho ni Balozi wa Hiari Utalii Tanzania.