Ziroseventytwo
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 7,961
- 13,590
Jana kwenye mechi ya Biashara united na Al ahal ya libya ( speling) kwenye mashindano ya kombe la shirikisho barani afrika, tuliona mchezaji mmoja wa Al ahal akitapika maji uwanjani.
Sababu zilizotolewa japo sio za kitaalam ni kwamba mchezaji alikunywa maji mengi, baada ya kukutana na joto kali la dar.
Mara zote nilipotapika mimi aidha nilikuwa mgonjwa au nilikunywa pombe kupitiliza.
Benchi la ufundi kwa maana ya madaktari na fittness coaches waliruhusu vp mvhezaji kunywa maji kupita kiasi mpaka kusababisha mchezaji kutapika?
Sijawahi kuona wala kusikia popote duniani mchezaji kutapika uwanjani.
Alipatwa na nini?
Sababu zilizotolewa japo sio za kitaalam ni kwamba mchezaji alikunywa maji mengi, baada ya kukutana na joto kali la dar.
Mara zote nilipotapika mimi aidha nilikuwa mgonjwa au nilikunywa pombe kupitiliza.
Benchi la ufundi kwa maana ya madaktari na fittness coaches waliruhusu vp mvhezaji kunywa maji kupita kiasi mpaka kusababisha mchezaji kutapika?
Sijawahi kuona wala kusikia popote duniani mchezaji kutapika uwanjani.
Alipatwa na nini?