Mchezaji gani aliyestafu ungependa arudi uwanjani

Ronaldinho Gaucho
images-1.jpeg
 
LEO tukiwa tunaadhimisha miaka 37 ya kuzaliwa kwa Ronaldinho Gaucho, mmoja kati ya Wanasoka mahiri kuwahi kutokea katika uso wa Dunia.

Wengi wanaamini bado hakuna mchezaji aliyefanikiwa kuziba pengo lake licha ya uwepo wa Messi na Ronaldo, wapenda soka wote wanam-miss na wanatamani siku zingerudi nyuma ili Gaucho arudi uwanjani.

Je wewe ukiwa kama shabiki na mpenzi wa soka, kama siku zingerudi nyuma ni Mchezaji gani wa soka aliyestafu ungetamani umuone akisakata tena kabumbu?
Ukiacha Gaucho, mwengine ni Austin "Jay jay" Okocha,
Ukitaka ufaidi burudani ya Mpira watazame hawa wawili wakicheza
 
Jamani nimesahau jina la yule kijana wa Liver pool ambaye alikuwa kila siku naumia ila alikuwa mfungaji bora wa timu yake na England. Ilibidi alitire akiwa mdogo.
 
Mimi ni mnazi wa masuti ya mbali hivyo na wa miss pia
Michael Ballack
Frank Lampard
Steven Gerald
Michael Essien
Deco
Nedved
Scholes na
Tosten Frings
Hawa jamaa usiombe wakutane na mpira una ambaa ambaa mita 20 hadi 30 kipa ataona nyotanyota tu.

Kwa kipa nammiss Oliver Khan
Ongeza na Didier Zokora katika list yako.
 
Jamani nimesahau jina la yule kijana wa Liver pool ambaye alikuwa kila siku naumia ila alikuwa mfungaji bora wa timu yake na England. Ilibidi alitire akiwa mdogo.
Yupi huyo? Mbona kama kumbukumbu zangu hazioneshi uwepo wa huyo mtu ndani ya kikosi cha Liverpool? Au unasema Michael Owen
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom