Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,206
- 4,696
Jonasi Mkude mchezaji mahiri alisimamishwa kwa muda kushiriki soka kwa tuhuma za utovu wa kinidhamu
Hatima yake itajulikana baada ya Kikao cha Kamati ya nidhamu ya Klabu ya Simba kinachoendelea muda huu kwenye hoteli ya Serena Jijini Dar es salaam
Hatima yake itajulikana baada ya Kikao cha Kamati ya nidhamu ya Klabu ya Simba kinachoendelea muda huu kwenye hoteli ya Serena Jijini Dar es salaam