mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 16,039
- 35,921
mbui yondaniJamaa alikuwa anapiga kiungo si mchezo alikuwa anakimbia taratibu huku akitanua mikono yake kwa nyuma,enzi hizo reli kiboko yao mji kasoro bahari Moroooo...ndani ya uwanja huku Mtono,Mbui Jordan,David Mihambo,Abdalah Mkali,Masenga,Peter Nkwela nk...Nakumbuka walizawadiwa baiskeli yeye (Duncan) aliiandika baiskeli yake 'The butty'.Tz tulishindwa kuuza wachezaji wetu nje miaka ile sijui tutawauza lini tena,R.I.P Butty