Sijaona palipoandikwa CCM isipokuwa barua inatoka Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo huku ikiwa imesainiwa na Afisa Mtendaji wa Mtaa na Mwenyekiti wa Mtaa!!Mkuu soma basi barua kabla ya kububujikwa povu,umeona mkono wa Chadema hapo,angalia hata nakala za barua zilikoenda,barua imeandikwa na CCM na imenakiliwa kwa CCM,hata meya hajanakiliwa,unatulaumuje sisi
Sasa tuanzie hapo: Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo inaongozwa na CCM au CHADEMA?
Mwenyekiti wa Mtaa wa NHC anatoka CCM au CHADEMA?
NOTE: Ni serikali za mitaa ndizo hutoa majina ya mitaa. Huyo Afisa Mtendaji amesaini kwa sababu tu yeye ndie mwakilishi wa serikalii kwenye mtaa husika!!!