mkulungu mkuyengo
JF-Expert Member
- Feb 5, 2015
- 786
- 564
Si ni watu wanaojuana. Linafutika vipi. Hata yeye kaini Jina la kiumbe moto haliwezi kufutika. Hii Habari baadhi yenu mnashindwa kuielewa.Khalifa kiumbe moto mpaka leo jina la Immanuel kaini halitofutika kwenye maisha yake.....
lazima nimtafute huyoNaweza kukupa namba ya khalifa au zaidi. Ila zaidi ambae ni mwanafunzi wa khalifa yupo arusha. amepewa kitengo cha kufundisha wana usalama. Khalifa umri umeenda sio sana kwenye kufundisha ila aweza kukupa vijana wake. Mzee mawala pia yupo kwa ushauri
Yupo ana kampuni yake ya mambo ya uhandisiNa yule bingwa alikuwa anaitwa Mawala black belt 3rd DAN enzi zile pale YMCA DAR bado yupo?