Mzizi wa Mbuyu
JF-Expert Member
- May 15, 2009
- 7,323
- 6,810
Jamani mwenzenu, nimepatikana wiki hii.
Mchele jamani, ukitoa shilingi elfu kumi unapata kilo tatu tuu!!!!
Sasa hivi kilo moja sh 2700 hadi 3000!!!!!! .....nchii imefikaje mahali hapa tutawalishaje watoto wetu? ilhali vipato vyetu vifinyu?
Hivi tuna raisi kweli? anajua mambo haya?.....au anadanganywa? taarifa sahihi za maisha haambiwi na wasaidizi wake?
Hivi matatizo yetu watanzania inamaana hayamhusu raisi wetu??.............
..............ndiyo maana anaitwa kichwa cha nanihii, kwa kufumbia macho matatizo ya wananchi!
Mchele jamani, ukitoa shilingi elfu kumi unapata kilo tatu tuu!!!!
Sasa hivi kilo moja sh 2700 hadi 3000!!!!!! .....nchii imefikaje mahali hapa tutawalishaje watoto wetu? ilhali vipato vyetu vifinyu?
Hivi tuna raisi kweli? anajua mambo haya?.....au anadanganywa? taarifa sahihi za maisha haambiwi na wasaidizi wake?
Hivi matatizo yetu watanzania inamaana hayamhusu raisi wetu??.............
..............ndiyo maana anaitwa kichwa cha nanihii, kwa kufumbia macho matatizo ya wananchi!