Mchekeshaji Mpoki ulimdhalilisha nyota wa Simba Sc wa Kike

matunge

JF-Expert Member
Dec 31, 2010
442
426
Wanabodi!

Nilifuatilia utoaji tuzo za Mo Simba Awards 2019. Kwa ujumla tukio hilo lilifana sana. Nawapongeza waandaaji.

Lakini nimeona kitendo alichokifanya nyota wa uchekeshaji MPOKI kwa mchezaji bora mwanamke wa Simba Sc kisipite bila kukemewa. Ni kuhusu maswali aliyoulizwa dada huyu.

Kitendo cha kumuuliza mbele za watu "una mume?" kwa sauti isiyo na staha kwa dada zetu ni udhalilishaji.

Mbaya zaidi baada ya kujibiwa kwamba "sina" ukaonesha kushangazwa kama vile ni kitu cha ajabu sana.

Pia kitendo cha kumuuliza nyota huyo mbele ya watu kwa mshangao mkuu "una mtoto?" na pia kushangazwa zaidi baada ya kujibiwa "sina".

Ndugu Mpoki siyo kila swali waweza uliza mbele za watu. Maswala ya kuolewa na kuwa na watoto hasa kwa wanawake ni sensitive sana. Wengi wao kutokuwa na mume ama watoto huwa iko nje ya uwezo wao.

Wengi wana matatizo ya uzazi hivyo kumdhalilisha mbele za watu ni kumwongezea machungu dada yetu. Mengine unauchuna tu.
 
Wanabodi!

Nilifuatilia utoaji tuzo za Mo Simba Awards 2019. Kwa ujumla tukio hilo lilifana sana. Nawapongeza waandaaji.

Lakini nimeona kitendo alichokifanya nyota wa uchekeshaji MPOKI kwa mchezaji bora mwanamke wa Simba Sc kisipite bila kukemewa. Ni kuhusu maswali aliyoulizwa dada huyu.

Kitendo cha kumuuliza mbele za watu "una mume?" kwa sauti isiyo na staha kwa dada zetu ni udhalilishaji.

Mbaya zaidi baada ya kujibiwa kwamba "sina" ukaonesha kushangazwa kama vile ni kitu cha ajabu sana.

Pia kitendo cha kumuuliza nyota huyo mbele ya watu kwa mshangao mkuu "una mtoto?" na pia kushangazwa zaidi baada ya kujibiwa "sina".

Ndugu Mpoki siyo kila swali waweza uliza mbele za watu. Maswala ya kuolewa na kuwa na watoto hasa kwa wanawake ni sensitive sana. Wengi wao kutokuwa na mume ama watoto huwa iko nje ya uwezo wao.

Wengi wana matatizo ya uzazi hivyo kumdhalilisha mbele za watu ni kumwongezea machungu dada yetu. Mengine unauchuna tu.
Mpoki anakula dozi Ya uchizi
 
Wanabodi!

Nilifuatilia utoaji tuzo za Mo Simba Awards 2019. Kwa ujumla tukio hilo lilifana sana. Nawapongeza waandaaji.

Lakini nimeona kitendo alichokifanya nyota wa uchekeshaji MPOKI kwa mchezaji bora mwanamke wa Simba Sc kisipite bila kukemewa. Ni kuhusu maswali aliyoulizwa dada huyu.

Kitendo cha kumuuliza mbele za watu "una mume?" kwa sauti isiyo na staha kwa dada zetu ni udhalilishaji.

Mbaya zaidi baada ya kujibiwa kwamba "sina" ukaonesha kushangazwa kama vile ni kitu cha ajabu sana.

Pia kitendo cha kumuuliza nyota huyo mbele ya watu kwa mshangao mkuu "una mtoto?" na pia kushangazwa zaidi baada ya kujibiwa "sina".

Ndugu Mpoki siyo kila swali waweza uliza mbele za watu. Maswala ya kuolewa na kuwa na watoto hasa kwa wanawake ni sensitive sana. Wengi wao kutokuwa na mume ama watoto huwa iko nje ya uwezo wao.

Wengi wana matatizo ya uzazi hivyo kumdhalilisha mbele za watu ni kumwongezea machungu dada yetu. Mengine unauchuna tu.
Mpoki alikosea sana siku hiyo. Mimi mwenyewe sikupenda kabisa. Alimchoresha sana dada wa watu.
 
Nakuunga mkono mtoa Uzi, kuna vitu vya kuchekesha na kuna vitu vya kufukunyua, kuolewa na kupata mtoto ni vitu sensitive sana kumuuliza MTU katika kadamnasi
 
Wanabodi!

Nilifuatilia utoaji tuzo za Mo Simba Awards 2019. Kwa ujumla tukio hilo lilifana sana. Nawapongeza waandaaji.

Lakini nimeona kitendo alichokifanya nyota wa uchekeshaji MPOKI kwa mchezaji bora mwanamke wa Simba Sc kisipite bila kukemewa. Ni kuhusu maswali aliyoulizwa dada huyu.

Kitendo cha kumuuliza mbele za watu "una mume?" kwa sauti isiyo na staha kwa dada zetu ni udhalilishaji.

Mbaya zaidi baada ya kujibiwa kwamba "sina" ukaonesha kushangazwa kama vile ni kitu cha ajabu sana.

Pia kitendo cha kumuuliza nyota huyo mbele ya watu kwa mshangao mkuu "una mtoto?" na pia kushangazwa zaidi baada ya kujibiwa "sina".

Ndugu Mpoki siyo kila swali waweza uliza mbele za watu. Maswala ya kuolewa na kuwa na watoto hasa kwa wanawake ni sensitive sana. Wengi wao kutokuwa na mume ama watoto huwa iko nje ya uwezo wao.

Wengi wana matatizo ya uzazi hivyo kumdhalilisha mbele za watu ni kumwongezea machungu dada yetu. Mengine unauchuna tu.
Hili jamaa huwa pumbu sana.
Huwa linatumia nguvu sana kuchekesha wakari kipaji halina.

Akili ndogo sana huyu jamaa sijui kwa nininanashirikishwa kwenye matukio muhimu ilihali Shule na IQ yake kama ya mbuzi
 
Vitu vingine ni too personal...kama mtu hayupo comfortable kuyazungumzia mwenyewe kwa nini umwulize???

Kila mtu ana mapito game mabonde na milima, unaweza kumwuliza mtu hayo maswali yakamfanya akaangua kilio hadharani!!!
 
Lile jamaa halijui hata maana ya ustaarabu, anaona alichokuwa nacho mwenzake akikosa basi mpuuz....
 
Wanabodi!

Nilifuatilia utoaji tuzo za Mo Simba Awards 2019. Kwa ujumla tukio hilo lilifana sana. Nawapongeza waandaaji.

Lakini nimeona kitendo alichokifanya nyota wa uchekeshaji MPOKI kwa mchezaji bora mwanamke wa Simba Sc kisipite bila kukemewa. Ni kuhusu maswali aliyoulizwa dada huyu.

Kitendo cha kumuuliza mbele za watu "una mume?" kwa sauti isiyo na staha kwa dada zetu ni udhalilishaji.

Mbaya zaidi baada ya kujibiwa kwamba "sina" ukaonesha kushangazwa kama vile ni kitu cha ajabu sana.

Pia kitendo cha kumuuliza nyota huyo mbele ya watu kwa mshangao mkuu "una mtoto?" na pia kushangazwa zaidi baada ya kujibiwa "sina".

Ndugu Mpoki siyo kila swali waweza uliza mbele za watu. Maswala ya kuolewa na kuwa na watoto hasa kwa wanawake ni sensitive sana. Wengi wao kutokuwa na mume ama watoto huwa iko nje ya uwezo wao.

Wengi wana matatizo ya uzazi hivyo kumdhalilisha mbele za watu ni kumwongezea machungu dada yetu. Mengine unauchuna tu.
Ni tatizo la kumpa kila mtu mic kisa ni maarufu. Kazi nyingine wapewe wataalamu husika si mtu kisa maarufu.
 
Tatizo mpoki sifa zimezidi, hajifunzi kwa joti....

Mpoki anafanga comedy ya mipasho na madongo, hasomi alama za nyakati....
 
Back
Top Bottom