Babu Kijiwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2010
- 4,762
- 4,576
- Thread starter
- #21
Wengi ktk orodha hawachekeshiNina wazo la kuja kutengeneza series matata sana ya comedy ikiwakusanya:- Braza K, Babu Mkombe, Mboto, yule msukuma wa futuhi ya mwanzo nimemsahau jina, Tin white, Ringo, Ben Branco, Ktale, Hemedy, Aunt Ezekiel, Asha Boko, Riyama, JB, Rado (maduhu), Uwoya, Grace Mapunda, Gabo...... Na maarufu wengine kama 15 hivi ambao wamo kwenye list yangu, nachanganya na wasio maarufu zaidi ya 27,naamini itakuwa ni series ya aina yake pia nimeshapata mchanganuo wa bajeti yake....... Wapenzi wa comedy sasa inawaijia kivingine kabisa