Babu Kijiwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2010
- 4,762
- 4,576
Huyu bwana ni mzuri sana kwenye vichekesho na anauwezo wa kumchekesha mtu, nadhani akiungana na Kashi kashi group aka Mizengwe wa ITV tutakula burudani ya aina yake. Ni hayo tu.
Anajiita Babu MkombeKWANI HUYO BABU NI NDUGU YAKO?
Yes, yupo Futuhi ila nadhani uwezo wake ni mkubwa kuliko futuhiSi yupo futuhi siku hiz
mbona simuonagi futuhi ila jamaa yuko vyema na braza k nae ni habari nyingine.Yes, yupo Futuhi ila nadhani uwezo wake ni mkubwa kuliko futuhi
Mizengwe inaangaliwaga mostly na watu wazima wenye umri wa kuanzia miaka 45 na kuendelea juu ambao hawajui comedy za maana zikoje.mbona simuonagi futuhi ila jamaa yuko vyema na braza k nae ni habari nyingine.
ila mizengwe jamaa wako vzr wale
naangalia kila j2 mkuu, ni kijana mwenye akili na busara za kizee.Mizengwe inaangaliwaga mostly na watu wazima wenye umri wa kuanzia miaka 45 na kuendelea juu ambao hawajui comedy za maana zikoje.
Kukuta kijana anaangalia mizengwe ni ajabu maana maigizo yao hakuna jipya ni maigizo ya kitoto kitoto/kijinga jinga tu hayana creativity yoyote.
Sawa mkuu,ila kwa kua mm sijaongelea mambo sex ila umeyaleta mwenyewe inaonekana unayafuatilia sana.naangalia kila j2 mkuu, ni kijana mwenye akili na busara za kizee.
najua unapenda comedy za sex sex, ndo maana mafunzo ya mizengwe unahisi ni kwa ajili ya wazee
Karudi wiki yatatu sasambona simuonagi futuhi ila jamaa yuko vyema na braza k nae ni habari nyingine.
ila mizengwe jamaa wako vzr wale
Wiki yatatu sasaKarudi futuhi lini ???
ahahahaha de'ass tena mkuu ni mchekeshaji ama yuko mizengwe hii hiii ama nyingineSawa mkuu,ila kwa kua mm sijaongelea mambo sex ila umeyaleta mwenyewe inaonekana unayafuatilia sana.
Vipi unamjua CHEROKEE DE'ASS?
Ulimwona wapi akifanya onesho?Huyu bwana ni mzuri sana kwenye vichekesho na anauwezo wa kumchekesha mtu, nadhani akiungana na Kashi kashi group aka Mizengwe wa ITV tutakula burudani ya aina yake. Ni hayo tu.
Babu mkombe wakulichombe yaani mpenda pombe,ukimkuta baa usimuombe pombe.Babu mkombe wa kulichombe ukimkuta kwenye pombe usimuombe.
Anapenda za kishoshoo kama za jotinaangalia kila j2 mkuu, ni kijana mwenye akili na busara za kizee.
najua unapenda comedy za sex sex, ndo maana mafunzo ya mizengwe unahisi ni kwa ajili ya wazee
We jamaa umetokea simiyu sio?Anapenda za kishoshoo kama za joti