Ruyama
JF-Expert Member
- Sep 6, 2019
- 367
- 561
Jana nilijiunga na MB 400 nikasema acha nisiingie Instagram.
Huwezi kuamini hadi leo bado bando lipo, ninaingia JamiiForums, Google, WhatsApp, radio Capital FM ya Kenya lisaa limoja na Facebook.
Wakati mwingine kumbe tunalaumu mitandao inakula MB zetu pasipo kujua.
Kwa utafiti huo nimeshajua mchawi wa MB
Huwezi kuamini hadi leo bado bando lipo, ninaingia JamiiForums, Google, WhatsApp, radio Capital FM ya Kenya lisaa limoja na Facebook.
Wakati mwingine kumbe tunalaumu mitandao inakula MB zetu pasipo kujua.
Kwa utafiti huo nimeshajua mchawi wa MB