Mchawi wa TANESCO ni TANESCO mwenyewe, Rais Magufuli hajaliona hili?

MKATA KIU

JF-Expert Member
Nov 22, 2010
2,861
6,219
Bila kupoteza muda wafanyakazi wa TANESCO wote wanapewa units za umeme 700 kila mwezi kwa shilingi elfu 10 tu.

Huku mtanzania maskini anapandishiwa bei za umeme kila kukicha?


Hii sio fair!

Halafu wanasema TANESCO inapata hasara huku wanajipa umeme wa thamani ya laki mbili kwa shilingi elfu 10 tu, hapo TANESCO ina wafanyakazi karibu 5000 huu si ukichaa huu. Wakisema hawajui chanzo cha hasara zao.

Hili nalo la kumsubiri Donald Trump kweli aseme waafrica hatujui kujiongoza na hatuna akili

Mtu unamlipa mshahara mamilioni bado unampa na umeme wa laki mbili au tatu bure wakati shirika linajiendesha kwa hasara linategemea ruzuku za serikali.

Ha ha ha Donald Trump ni mkweli sana kwamba kuna watu wa iq ndogo sana hasa weusi.

Mchawi wa TANESCO ni TANESCO wenyewe hata waongeze bei ya umeme kwa hili la kujipa umeme bure wote hawawezi kuendelea.
 
Bila kupoteza muda wafanyakazi wa TANESCO wote wanapewa units za umeme 700 kila mwezi kwa shilingi elfu 10 tu.

Huku mtanzania maskini anapandishiwa bei za umeme kila kukicha?


Hii sio fair!

halafu wanasema tanesco inapata hasara huku wanajipa umeme wa thamani ya laki mbili kwa shilingi elfu 10 tu... hapo tanesco ina wafanyakazi karibu 5000 huu si ukichaa huu. wakisema hawajui chanzo cha hasara zao...

hili nalo la kumsubiri Donald Trump kweli aseme waafrica hatujui kujiongoza.. na hatuna akili

mtu unamlipa mshahara mamilioni... bado unampa na umeme wa laki mbili au tatu bure.. wakati shirika linajiendesha kwa hasara.. linategemea ruzuku za serikali....

ha ha ha donald trump ni mkweli sana kwamba kuna watu wa iq ndogo sana hasa weusi....

mchawi wa tanesco ni tanesco wenyewe hata waongeze bei ya umeme.. kwa hili la kujipa umeme bure wote hawawezi kuendelea
 
Yeah umesema kweli kabisa juu ya hili ndugu MKATA KIU hi hawa huwa wanapewa hivyo kisheria au wameamua tu kama motisha.....huu utaratibu ni ufisadi wa kutosha....na ndio maana huwa kila mara huwa wanapandisha gharama za umeme kwa sababu wao si waathirika ila sisi huku kina kanyea wapi aisee!!
 
Mchawi wa Tanesco ni serikali maana inadaiwa mabiluoni na hailipi ankara kwa wakati. Sasa mnataka Tanesco wajiendesheje ikiwa serikali (Taasisi, Idara, na Wizara) ndio mdaiwa mkuu? SMZ nao kupuroa ZECO wanadaiwa mabiloni kwa miaka ba bado wanapewa umeme, kwa nini wasikatiwe? Mbona sisi huku chini usipolipa miezi miwili tu wanatukatia umeme?

Vv
 
Mchawi wa Tanesco ni serikali maana inadaiwa mabiluoni na hailipi ankara kwa wakati. Sasa mnataka Tanesco wajiendesheje ikiwa serikali (Taasisi, Idara, na Wizara) ndio mdaiwa mkuu? SMZ nao kupuroa ZECO wanadaiwa mabiloni kwa miaka ba bado wanapewa umeme, kwa nini wasikatiwe? Mbona sisi huku chini usipolipa miezi miwili tu wanatukatia umeme?

Vv
Umenena
 
no research no right to speak sio kweli sio wafanyakazi wote

sema ni wafanyakazi gani wa tanesco hawapati hizi units... usibishe kama hujui...

labda ambap hawajaajiriwa ndio hawapati ila wote walioajiriwa ajira rasmi.. staff rasmi kwenye employment number au company number anazipata hizi.. na wapo zaidi ya 5000
 
Hapana Mchawi KAMWE hawezi kujiroga mwenyewe. Mchawi wa TANESCO ni Serikali kuanzia Mwinyi, Mkapa, Kikwete na sasa Magufuli wote hawa maamuzi yao mbali mbali ndiyo yanaiangamiza TANESCO. Ikiwemo kusaini mikataba mbali mbali ya kifisadi kama vile Net Group Solutions, Richmond/Dowans, IPTL, Mikataba ya gesi kwa kulipa dollar huku TANESCO ikiuza umeme wao kwa bei ya madafu na mikataba mbali mbali ya ufuaji umeme na makamouni ya nje. Mikataba yote hii ilisainiwa na Watendaji wa Serikalini na mingi wataalamu wa TANESCO walikataa isisainiwe lakini hawakusikilizwa na wanasiasa uchwara.

Bila kupoteza muda wafanyakazi wa TANESCO wote wanapewa units za umeme 700 kila mwezi kwa shilingi elfu 10 tu.

Huku mtanzania maskini anapandishiwa bei za umeme kila kukicha?


Hii sio fair!

Halafu wanasema tanesco inapata hasara huku wanajipa umeme wa thamani ya laki mbili kwa shilingi elfu 10 tu, hapo tanesco ina wafanyakazi karibu 5000 huu si ukichaa huu. wakisema hawajui chanzo cha hasara zao...

Hili nalo la kumsubiri Donald Trump kweli aseme waafrica hatujui kujiongoza na hatuna akili

Mtu unamlipa mshahara mamilioni... bado unampa na umeme wa laki mbili au tatu bure.. wakati shirika linajiendesha kwa hasara.. linategemea ruzuku za serikali.

Ha ha ha Donald Trump ni mkweli sana kwamba kuna watu wa iq ndogo sana hasa weusi.

Mchawi wa tanesco ni tanesco wenyewe hata waongeze bei ya umeme.. kwa hili la kujipa umeme bure wote hawawezi kuendelea.
 
Mikataba mibovu ukali wake wanaangushia kwa RAIA. IPTL mkataba wa kuzalisha umeme kwa dharura lakini mpaka. Ina maana dharura haijaisha wakati wenyewe tunalalamika wanauza kwa bei kubwa.
 
Back
Top Bottom