Mchawi soko....

donlucchese

JF-Expert Member
Mar 23, 2011
17,040
21,513
.
eb04ba278c530530c6ddb52c09624d56.jpeg
 
Hivi haya matikiti yana tofauti gani na wale kuku wa kizungu?

Tunda gani wakati wote lipo tu sokoni sawa na mahindi ya Dar ambayo bila kuyapakaa pilipili na chumvi hayana ladha kabisa kama siyo sumu tupu za kemikali ni nini hasa?

Tunataka matikiti asilia ambayo Mwanza yamejaa tele...Dar iko vizuri sana kibiashara lakini tokana na vyakula 75% ni sumu tupu.
 
Hivi haya matikiti yana tofauti gani na wale kuku wa kizungu?

Tunda gani wakati wote lipo tu sokoni sawa na mahindi ya Dar ambayo bila kuyapakaa pilipili na chumvi hayana ladha kabisa kama siyo sumu tupu za kemikali ni nini hasa?

Tunataka matikiti asilia ambayo Mwanza yamejaa tele...Dar iko vizuri sana kibiashara lakini tokana na vyakula 75% ni sumu tupu.


😁😁😁hayana manyoya
 
Hakuna chochote utumiacho kisichokuwa na sumu
Kuanzia unga wa mahindi hadi maji
Hivi haya matikiti yana tofauti gani na wale kuku wa kizungu?

Tunda gani wakati wote lipo tu sokoni sawa na mahindi ya Dar ambayo bila kuyapakaa pilipili na chumvi hayana ladha kabisa kama siyo sumu tupu za kemikali ni nini hasa?

Tunataka matikiti asilia ambayo Mwanza yamejaa tele...Dar iko vizuri sana kibiashara lakini tokana na vyakula 75% ni sumu tupu.
 
Ukulima na Ufugaji ndio vitu ambavyo sitamani vifanya kutokama na experience
 
Kabla soko haujamuita mchawi, wewe ndio jini
Kwanin Ulikua hauna business plan??
Au watu wanavyotoa hayo masomo mnaona wanawatapeli??? Sasa gawa bure ayo matikit
 
Sidhani kama matikiti ya asili yapo kwa wingi hata yale ya kijani cheusi kuna ambayo ni ya kisasa
Hivi haya matikiti yana tofauti gani na wale kuku wa kizungu?

Tunda gani wakati wote lipo tu sokoni sawa na mahindi ya Dar ambayo bila kuyapakaa pilipili na chumvi hayana ladha kabisa kama siyo sumu tupu za kemikali ni nini hasa?

Tunataka matikiti asilia ambayo Mwanza yamejaa tele...Dar iko vizuri sana kibiashara lakini tokana na vyakula 75% ni sumu tupu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom