Solomon Kambarangwe
Member
- Feb 7, 2015
- 85
- 37
Hatunywi sumu, hatujinyongi.........ccm mbele kwa mbele.
Walimu wa masomo ya sanaa wajiajili, wao sio kipaumbele, sasa kipaumbele ni kuweka bajeti ya kusaka alipo faru.......ukihoji maruhani wanakusandarusi unasahaulika.
Kila anayepata ajira kwa jitihada binafsi lazima akatwe 15% ya mkopo wa elimu elimu ya juu, 30% kodi ya mapato, 10% NSSF, CWT n.k....ukienda ATM unakatwa kodi, ukituma m-pesa unakatwa kodi, ukiweka vocha unalipa kodi, ukinunua sukari, ukipanda daladala nk unakutana na kodi.
Ukitaka kuomba mkopo wa kujenga unaambiwa hupewi mkopo hadi umalize mkopo wa elimu ya juu kwanza ndio utoke katika nyumba za kupanga........huku ukijua ulisaliti mabadiliko ya CHADEMA iliyokuwa imejipanga kutoa elimu bure hadi chuo kikuu.....na wadaiwa kufutiwa deni.
Mwanao anarudi kijijini kwa kukosa mkopo wa elimu ya juu akilia na kuweka msiba kwako anakuwa mzigo, majonzi ukijuwa ulikuwa unarukaruka na ule wimbo wa ccm mbele kwa mbele......tupeipenda wenyewe.....sasa unatumbuliwa kiaina mpaka akili ikukae sawa.
50 Milioni kwa kila kijiji sio kipaumbele, wananchi wasubili labda muujiza wa maono ya Lema yatakapotimirika.....mnaisoma namba na kuendelea kutegemea kumchinja konokono 1 upate kilo 10 kushibisha na kufurahisha wageni wako.
Anasema katiba ya wananchi sio kipaumbele....hakuwahi kuahidi popote.......na yeye haoni umuhimu wake.....maoni ya Wananchi na mchakato wa Katiba Mpya sio issue kwake.....yeye ni katiba na mtukufu.
Kwa muda kipindi cha mwaka mmoja wa hii serikali imefanikisha kuanzisha na kujenga viwanda 3800......kwahiyo janga la ajira Tz hakuna linasikilizwa radio kuwa lipo Kenya, Uganga n.k
Bombadier zitanunuliwa hadi 6 ila huduma ya maji hayapewi fedha sitahili maana sasa sio kipaumbele........hivyo upatikanaji wa maji yanaendelea kuwa janga.....watanzania waendelee kusubili.
Bombadier zinanunuliwa kwa kipaumbele ila Hospitali ya Taifa MoI haina kipimo cha CT scan na katika vituo vya afya na hospitali za umma dawa na mitambo ya kupima magonjwa hakuna inavyostahili.......Watz wasubili tu.
Mishahala ya Walimu, madaktari nk haipandishwi iendelee kusubili.......uteuzi na kugawana vyeo unaendelea na kukamirisha manunuzi ya madege ya bombadier bado hakujakamirika.
Mashangingi yanayonunuliwa kwa bei ya tumbua pesa yanaendelea kununuliwa sawa na enzi za Kikwete, mikataba yote bado ni siri, mshahara wake ni siri, mafisadi wanapewa vyeo, mtu anafisadi hapa anahamishiwa pale kesho, watu wanatoweka hawajulikani walipo,.... ...kisha mnaendelea kuchezeshwa ngoma ya hapa kazi tu na kuwa jamaa ni mtukufu.......acheni kumnajisi Mungu kwa kutaka maombi yake.........mnatuongezea laana.
[HASHTAG]#TunamtakaBenSaananeAkiwaHai[/HASHTAG].
#FreeLema_Justice4Lema
Solomon KAMBARANGWE
21/12/2016
Walimu wa masomo ya sanaa wajiajili, wao sio kipaumbele, sasa kipaumbele ni kuweka bajeti ya kusaka alipo faru.......ukihoji maruhani wanakusandarusi unasahaulika.
Kila anayepata ajira kwa jitihada binafsi lazima akatwe 15% ya mkopo wa elimu elimu ya juu, 30% kodi ya mapato, 10% NSSF, CWT n.k....ukienda ATM unakatwa kodi, ukituma m-pesa unakatwa kodi, ukiweka vocha unalipa kodi, ukinunua sukari, ukipanda daladala nk unakutana na kodi.
Ukitaka kuomba mkopo wa kujenga unaambiwa hupewi mkopo hadi umalize mkopo wa elimu ya juu kwanza ndio utoke katika nyumba za kupanga........huku ukijua ulisaliti mabadiliko ya CHADEMA iliyokuwa imejipanga kutoa elimu bure hadi chuo kikuu.....na wadaiwa kufutiwa deni.
Mwanao anarudi kijijini kwa kukosa mkopo wa elimu ya juu akilia na kuweka msiba kwako anakuwa mzigo, majonzi ukijuwa ulikuwa unarukaruka na ule wimbo wa ccm mbele kwa mbele......tupeipenda wenyewe.....sasa unatumbuliwa kiaina mpaka akili ikukae sawa.
50 Milioni kwa kila kijiji sio kipaumbele, wananchi wasubili labda muujiza wa maono ya Lema yatakapotimirika.....mnaisoma namba na kuendelea kutegemea kumchinja konokono 1 upate kilo 10 kushibisha na kufurahisha wageni wako.
Anasema katiba ya wananchi sio kipaumbele....hakuwahi kuahidi popote.......na yeye haoni umuhimu wake.....maoni ya Wananchi na mchakato wa Katiba Mpya sio issue kwake.....yeye ni katiba na mtukufu.
Kwa muda kipindi cha mwaka mmoja wa hii serikali imefanikisha kuanzisha na kujenga viwanda 3800......kwahiyo janga la ajira Tz hakuna linasikilizwa radio kuwa lipo Kenya, Uganga n.k
Bombadier zitanunuliwa hadi 6 ila huduma ya maji hayapewi fedha sitahili maana sasa sio kipaumbele........hivyo upatikanaji wa maji yanaendelea kuwa janga.....watanzania waendelee kusubili.
Bombadier zinanunuliwa kwa kipaumbele ila Hospitali ya Taifa MoI haina kipimo cha CT scan na katika vituo vya afya na hospitali za umma dawa na mitambo ya kupima magonjwa hakuna inavyostahili.......Watz wasubili tu.
Mishahala ya Walimu, madaktari nk haipandishwi iendelee kusubili.......uteuzi na kugawana vyeo unaendelea na kukamirisha manunuzi ya madege ya bombadier bado hakujakamirika.
Mashangingi yanayonunuliwa kwa bei ya tumbua pesa yanaendelea kununuliwa sawa na enzi za Kikwete, mikataba yote bado ni siri, mshahara wake ni siri, mafisadi wanapewa vyeo, mtu anafisadi hapa anahamishiwa pale kesho, watu wanatoweka hawajulikani walipo,.... ...kisha mnaendelea kuchezeshwa ngoma ya hapa kazi tu na kuwa jamaa ni mtukufu.......acheni kumnajisi Mungu kwa kutaka maombi yake.........mnatuongezea laana.
[HASHTAG]#TunamtakaBenSaananeAkiwaHai[/HASHTAG].
#FreeLema_Justice4Lema
Solomon KAMBARANGWE
21/12/2016