Mr p_
Member
- Dec 31, 2021
- 58
- 385
Sipo hapa kumshawishi mtu aingie kwenye ushirikina, sipo hapa kudharau Imani ya dini ya mtu yoyote. Ila Nipo hapa kusema ukweli.
Watu wanatupa moyo kuhusu mafanikio, wengi wao husema kufanya kazi kwa bidii ndio njia ya mafanikio! Wao huita hiyo ndio Siri!
Lakini Ndugu zangu nipo hapa kuwapa Siri ingine ya mafanikio! Sio kuua mzazi wa kutoa kafara Ila Ni kukulinda. Katika mafanikio au katika biashara yoyote.
Mtu asikuambie mtaji wa laki Tano ndio ulionifanya niwe na nyumba na magari! Tena wanasema nilifanya kazi Sana kwa bidii, na siri ya mafanikio yangu ni kufanya kazi kwa bidiii! Huo ni uongo mtupu.
Siri za mafanikio zipo kwenye Siri ya ushirikina moja, ni wewe kujikinga kupitia ushirikina! Au kukinga biashara yako kwa ushirikina, usipozingatia Ayo maisha yako yatakuwa chini miaka nenda miaka rudi huku ukiona wengine wanashaini
Mchawi kazi yake sio kuroga tu kazi yake ingine ni kurudisha nyuma maisha yako.
Karibuni 2022.
Watu wanatupa moyo kuhusu mafanikio, wengi wao husema kufanya kazi kwa bidii ndio njia ya mafanikio! Wao huita hiyo ndio Siri!
Lakini Ndugu zangu nipo hapa kuwapa Siri ingine ya mafanikio! Sio kuua mzazi wa kutoa kafara Ila Ni kukulinda. Katika mafanikio au katika biashara yoyote.
Mtu asikuambie mtaji wa laki Tano ndio ulionifanya niwe na nyumba na magari! Tena wanasema nilifanya kazi Sana kwa bidii, na siri ya mafanikio yangu ni kufanya kazi kwa bidiii! Huo ni uongo mtupu.
Siri za mafanikio zipo kwenye Siri ya ushirikina moja, ni wewe kujikinga kupitia ushirikina! Au kukinga biashara yako kwa ushirikina, usipozingatia Ayo maisha yako yatakuwa chini miaka nenda miaka rudi huku ukiona wengine wanashaini
Mchawi kazi yake sio kuroga tu kazi yake ingine ni kurudisha nyuma maisha yako.
Karibuni 2022.