Mchawi hela

ndege JOHN

JF-Expert Member
Aug 5, 2015
19,074
42,852
Ukiwa na gari ukipita Tu maeneo unakutana na mtoto mkali anakushobokea.mfukoni una KAMA laki.unamchukua mnaenda Lodge chumba kikali kama na ye mtu wa kutupia vinywaji unamuagizia POMBE laini laini.mwisho wa picha una maliza show kilaini
Ukiwa masikini huna hela hata hamasa na mapenzi huwezi kuwa nayo.hii starehe Ni ya watu wenye wote haibagui Lakini palipo na hela ndo Kuna Mambo mengi Zaid na maufundi mengi.
 
Ukiwa na gari ukipita Tu maeneo unakutana na mtoto mkali anakushobokea.mfukoni una KAMA laki.unamchukua mnaenda Lodge chumba kikali kama na ye mtu wa kutupia vinywaji unamuagizia POMBE laini laini.mwisho wa picha una maliza show kilaini
Ukiwa masikini huna hela hata hamasa na mapenzi huwezi kuwa nayo.hii starehe Ni ya watu wenye wote haibagui Lakini palipo na hela ndo Kuna Mambo mengi Zaid na maufundi mengi.
UKIMWI UNAUA NA HAUBAGUI.

"Time is wealthy when it's timed consecutively"


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna ukweli,ingawa ni vizuri mtu akupende jinsi ulivyo;kuna w/kend moja nilikuwa ugenini nikawa napata kinywaji kidogo akaja rafiki yangu mmoja tukawa tunabadilishana mawazo,baadaye akanipatia namba ya mrembo mmoja wa kuni-keep busy, tukachat naye baada ya muda akafika.Tukawa tunapiga vyombo huku tukijaribu kufahamiana,baada ya muda mrembo akanipa majukumu nadaiwa ada ya chuo kama laki 6......nilitafakari sana,baada ya kumaliza kunywa tukaagana na nikafuta mawasiliano.
 
Ukiwa na gari ukipita Tu maeneo unakutana na mtoto mkali anakushobokea.mfukoni una KAMA laki.unamchukua mnaenda Lodge chumba kikali kama na ye mtu wa kutupia vinywaji unamuagizia POMBE laini laini.mwisho wa picha una maliza show kilaini
Ukiwa masikini huna hela hata hamasa na mapenzi huwezi kuwa nayo.hii starehe Ni ya watu wenye wote haibagui Lakini palipo na hela ndo Kuna Mambo mengi Zaid na maufundi mengi.
sikupingi blood
 
Its all about Benjamin baby, pesa ni ulinzi. Wanaume tafuteni pesa
 
Ukiwa na gari ukipita Tu maeneo unakutana na mtoto mkali anakushobokea.mfukoni una KAMA laki.unamchukua mnaenda Lodge chumba kikali kama na ye mtu wa kutupia vinywaji unamuagizia POMBE laini laini.mwisho wa picha una maliza show kilaini
Ukiwa masikini huna hela hata hamasa na mapenzi huwezi kuwa nayo.hii starehe Ni ya watu wenye wote haibagui Lakini palipo na hela ndo Kuna Mambo mengi Zaid na maufundi mengi.
Napinga.. Hoja

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom