mimi ni mkazi wa Mbezi Luis. Namfahamu huyu kijana ni mkichaa wa siku zote na siku zote yuko hapa Luis. kosa lake siku ya tukio alivua nguo sasa kwa kua wananchi wa huku wana uchu wa kumwaga damu hata iwe ya kichanga ndio wakamsingizia ili wamtoe roho. Hivi we are grown ups. kweli kuna raia anaamini huu upuuzi wa kusafiri na ungo ? kama mnaamini basi mtaamini rais ajaye ni Kingunge ngombale
Wakazi Wa Mbezi wengi wao ni walala hoi homeless People Watu wa vijiweni hawana kazi ya kufanya wanakwenda kumuwa mtu kwa sababu yupo uchi* sa ingine ni mgonjwa wa wenda wazimu huyu mwanamme? Wana Ushahidi gani kuwa huyu jamaa ni Mchawi? Mwenyeezi Mungu atawalipa malipo makubwa waliomdhulumu nafsi yake huyu jamaa damu yake haitokwenda bure waliofanya kitendo cha uuwaji watavuna kile walichokipanda inshallah.
Hata huyu juzi alistahili kifinyo sawa na huyu.
Halafu nina hofu anaweza akawa na kadi ya ccm nyumbani kwake!
na jk aliangushwa na nini jukwaani wakati wa kampeni 2010! siyo kwamba ndiyo imani zenu?
Hapo utakuwa humtendei haki. Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.
Unakumbuka kwanini Ali Hassan Mwinyi alijiudhuru wakati wa Nyerere? au ulikuwa hujazaliwa bado?
We FaizaFoxy Wacha ujanja ujanja wako wa mjini, jibu hizo tuhuma kama Jakaya ni binamu yako?
BTW mbona mie na ungo wangu huwa nafungua macho kutoka Alaska hadi Emirates ... .... .... wamemuonea tu thubutu nitatua Bongo new year nione kama watanifanya kitu!
na jk aliangushwa na nini jukwaani wakati wa kampeni 2010! siyo kwamba ndiyo imani zenu?
Hii ina tofauti gani na wale watu wanaouliwa kwa kupigwa mitaani kwa tuhuma za wizi?
Ina tofauti gani, kimsingi, na yale matukio ya akina dada kupewa wakati mgumu mchana kweupe kwenye sehemu za hadhara kutokana na mavazi yao?
Tafakari.....
Hizi imani za Kiarabu ni tabu sana.