Hapo utakuwa humtedei haki. Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.
Unakumbuka kwanini Ali Hassan Mwinyi alijiudhuru wakati wa Nyerere? au ulikuwa hujazaliwa bado?
Hata huyu juzi alistahili kifinyo sawa na huyu.
Halafu nina hofu anaweza akawa na kadi ya ccm nyumbani kwake!
Safi sana, Maandiko ya biblia yanasisitiza kuwa , Mchawi asiachwe aishi.
Hili tukio limenigusa na kuniumiza!. Kiukweli huyo jamaa was insane, ila hao watu nao ni kama mashetani fulani!, naamini miongoni mwao walikuwepo walioona kabisa kuwa huyo jamaa sio mzima!...Kwa kweli inasikitisha sana kuona jinsi huyo kijana alivyo uwawa kikatili na wananchi,ni sababu gani ya msingi iliyofanya auawe?kwa maana amehukumiwa pasi na sheria kuchukua mkongo wake.Huenda kama angefikishwa kwenye vyombo vya sheria tungepata kufahamu mengi na kuujua huo mtandao.Sasa wamesha muua ndio iweje?Serikali inapiga sana kelele wananchi wasichukue sheria mikononi,si kwamba namtetea kwa vitendo vyao viovu lakini haikupasa kumuua,na wale wote walio shiriki kumuua wanayo kesi ya kujibu kesho kwa M.Mungu.Anae uwa pasi na sheria na yeye auliwe.
Nakubaliana na wewe mkuu, hizo picha hazihitaji uwe na akili ya ziada kujua kama aliyeuwawa ni kichaa. Watanzania hatujielewi kabisa, na mpaka habari inatolewa kwenye gazeti eti mchawi kauawa. Very sad kwa huyu jamaa.mimi ni mkazi wa Mbezi Luis. Namfahamu huyu kijana ni mkichaa wa siku zote na siku zote yuko hapa Luis. kosa lake siku ya tukio alivua nguo sasa kwa kua wananchi wa huku wana uchu wa kumwaga damu hata iwe ya kichanga ndio wakamsingizia ili wamtoe roho. Hivi we are grown ups. kweli kuna raia anaamini huu upuuzi wa kusafiri na ungo ? kama mnaamini basi mtaamini rais ajaye ni Kingunge ngombale
mimi ni mkazi wa Mbezi Luis. Namfahamu huyu kijana ni mkichaa wa siku zote na siku zote yuko hapa Luis. kosa lake siku ya tukio alivua nguo sasa kwa kua wananchi wa huku wana uchu wa kumwaga damu hata iwe ya kichanga ndio wakamsingizia ili wamtoe roho. Hivi we are grown ups. kweli kuna raia anaamini huu upuuzi wa kusafiri na ungo ? kama mnaamini basi mtaamini rais ajaye ni Kingunge ngombale
Hili tukio limenigusa na kuniumiza!. Kiukweli huyo jamaa was insane, ila hao watu nao ni kama mashetani fulani!, naamini miongoni mwao walikuwepo walioona kabisa kuwa huyo jamaa sio mzima!.
Tueneze elimu ya "karma" kuwa kila baya lolote utakalo lifanya duniani, utalilipa hapa hapa duniani!. Hata kama ni kweli ni mchawi na alikuwa kwenye safari zake, sasa mnamuua kwa kosa gani?!. Hatua ya kwanza kabisa ya kumpima insane ni dress code!. Kwa kuziona tuu hizo nywele, mtu yoyote mwenye akili timamu atajua huyo ni kichaa!. Hata kama ukichaa wake ni wa kuchukuliwa msukule, ila kwa macho ya kawaida tuu ile sura yale macho, utajua fika huyu sii mzima!.
Ukiondoa mob psychology ya wengine kufuata mkumbo, hata hao walioshiri kumuua pia nao ni vichaa fulani!. Siku zote nasisitiza humu, Tanzania tunao vichaa wengi kuliko tunavyojidhania, japo sio wote ni mpaka waokote makopo!.
Rip an innocent victim!, hakuna damu inamwagika bure, kile aliyeshiriki lazima atalita tatizo wakati wa payback time, huwezi kukumbuka ndio malipo yenyewe, utajua ni majanga tuu ya kawaida!.
Pasco.
Pasco.
mimi ni mkazi wa Mbezi Luis. Namfahamu huyu kijana ni mkichaa wa siku zote na siku zote yuko hapa Luis. kosa lake siku ya tukio alivua nguo sasa kwa kua wananchi wa huku wana uchu wa kumwaga damu hata iwe ya kichanga ndio wakamsingizia ili wamtoe roho. Hivi we are grown ups. kweli kuna raia anaamini huu upuuzi wa kusafiri na ungo ? kama mnaamini basi mtaamini rais ajaye ni Kingunge ngombale
Hili tukio limenigusa na kuniumiza!. Kiukweli huyo jamaa was insane, ila hao watu nao ni kama mashetani fulani!, naamini miongoni mwao walikuwepo walioona kabisa kuwa huyo jamaa sio mzima!.
Tueneze elimu ya "karma" kuwa kila baya lolote utakalo lifanya duniani, utalilipa hapa hapa duniani!. Hata kama ni kweli ni mchawi na alikuwa kwenye safari zake, sasa mnamuua kwa kosa gani?!. Hatua ya kwanza kabisa ya kumpima insane ni dress code!. Kwa kuziona tuu hizo nywele, mtu yoyote mwenye akili timamu atajua huyo ni kichaa!. Hata kama ukichaa wake ni wa kuchukuliwa msukule, ila kwa macho ya kawaida tuu ile sura yale macho, utajua fika huyu sii mzima!.
Ukiondoa mob psychology ya wengine kufuata mkumbo, hata hao walioshiri kumuua pia nao ni vichaa fulani!. Siku zote nasisitiza humu, Tanzania tunao vichaa wengi kuliko tunavyojidhania, japo sio wote ni mpaka waokote makopo!.
Rip an innocent victim!, hakuna damu inamwagika bure, kile aliyeshiriki lazima atalita tatizo wakati wa payback time, huwezi kukumbuka ndio malipo yenyewe, utajua ni majanga tuu ya kawaida!.
Pasco.
Pasco.
Wakazi Wa Mbezi wengi wao ni walala hoi homeless People Watu wa vijiweni hawana kazi ya kufanya wanakwenda kumuwa mtu kwa sababu yupo uchi* sa ingine ni mgonjwa wa wenda wazimu huyu mwanamme? Wana Ushahidi gani kuwa huyu jamaa ni Mchawi? Mwenyeezi Mungu atawalipa malipo makubwa waliomdhulumu nafsi yake huyu jamaa damu yake haitokwenda bure waliofanya kitendo cha uuwaji watavuna kile walichokipanda inshallah.MCHAWI AKAMATWA DAR NA KUUAWA LIVE BAADA YA KUDONDOKA NA UNGO
December 23, 2013
WANANCHI wenye hasira kali wamempiga hadi kumuua mtu mmoja mwanaume aliyesadikiwa kuwa ni mchawi baada ya kuanguka akiwa amepanda ungo maeneo ya Mbezi Luis jijini Dar es Salaam, Mtanzania limeshuhudia.
Kijana huyo mkazi wa Mwanza anayekadiriwa kuwa na umri kati ya miaka 20 hadi 25, alianguka jana saa 12 asubuhi maeneo hayo baada ya kudai kuwa alikuwa kwenye safari zake za kishirikina.
Kabla ya kufariki alisema mimi nilikuwa na wenzangu sita, wanaume watatu na wanawake watatu ambapo tulikuwa tunatoka Mwanza kuelekea kwenye mkutano wetu
Lakini mimi kwa bahati mbaya nilikiuka masharti tuliyopewa na mkuu kwa kufungua macho ndipo ghafla nilianguka na kupata kadhia hii inayopelekea mauti yangu
Hata hivyo kutokana na vurugu zilizokuwapo eneo hilo la tukio, ambapo wananchi wa eneo hilo walikuwa wanataka kumuua, kijana huyo alishindwa hata kutaja jina lake kutokana na kipigo alichokuwa anakipata kutoka kwao.
Kwa mujibu wa mashuhuda wengine wa tukio hilo walisema baada ya kuanguka eneohilo walimkimbiza hadi ndani kwa mtu na kumtoa pamoja na zana zake za kichawi ambapo walizichoma kwanza moto ikiwa pamoja na ungo wenyewe ndipo wakaendelea kumpiga kwa mawe hadi mauti yalipomkuta.
Huyu jamaa bwana, ameanguka hapa, sasa kwakuwa sisi hatuna mzaha na watu kamahawa tumemtoa huko alikokimbilia na kumhalalisha kwa vijana wa kazi hapa baada ya kuhakikisha zana zake zote tumezichoma moto alisema mkazi mmoja wa maeneo hayo.
Hata hivyo baadhi ya wananchi walielekeza lawama zao kwa Jeshi la Polisi (Kituo cha Polisi Kimara) kilichopo Mbezi kwa Yusuph kwa kuchelewa kuja kumuokoa kija huyo ingawa walipewa taarifa mapema.
Sisi tumepiga simu kituoni hapo hata kabla huyu mchawi hajaanza kushambuliwa, lakini angalia tukio limeanza saa 12 asubuhi wanakuja baada ya masaa mawili, huu nu uzembe alisema mkazi wa eneo hiloaliyejitambulisha kwa jina moja la Ali
Ingawa katika tukioa hilo kulitokea mkazi mmoja aliyekuwa na silaha aina ya bastola na kufyatua risasi hewani kwa lengo la kuwatawanyisha wananchi hao wenye hasira kali, haikusaidia kitu kwani waliendelea kumpiga hadi wakahakikisha amekufa.
Mtanzania lilibisha hodi katika kituo cha Polisi Kimara ambacho mwili wake ulipelekwa ili kupata uthibitisho zaidi lakini askari wa zamu waliokuwa mapokezi walisema hawana mamlaka ya kutoa maelezo hadi mkuu wa kituoa au mkuu wa makosa ya kieupelezi wa kituo hicho ndiyo wenye dhamana.
Aidha wakuu hao OC CID (ASP) M. Mganga pamoja na Mkuu wa kituo wote hawakuwapo kituoni wakati Kamanda wa kipolisi wa Kinondoni, Elias Kalinga hakuweza kupatikana ili kudhibitisha tukio hilokutokana na namba yake ya simu kuita bila kupokelewa.
Wakazi wa Mbezi Luis, wakimshambulia mchawi huyo.
Wananchi hao wakimzonga mchawi huyo.
Kipigo kitakatifu kutoka kwa wanachi.
Kipigo kinaendelea hadi kupelekea umauti wake.
Wakimsindikiza kuelekea katika mtaro ambao walimpiga na bonge la kitofa na kumuua.